Shangazi Akujibu

SHANGAZI AKUJIBU: Tumehusiana miaka 7 bila kupelekwa kwao

Na SHANGAZI January 14th, 2026 Kusoma ni dakika: 1

SWALI: Vipi shangazi. Tumekuwa kwenye uhusiano miaka saba lakini mpenzi wangu hajawahi kunipeleka kwao. Anasema bado anajiandaa. Niendelee kusubiri?

Jibu: Miaka saba ni muda wa kutosha wa kujua unachotaka. Kama bado hajawa tayari, huenda tatizo si muda bali nia. Usikae kwenye uhusiano ukisubiri bila mwelekeo.

IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO