Tag: afc leopards
- by T L
- March 25th, 2022
Leopards yatandika Dandora Love 6-1 mechi ya kirafiki
Na JOHN ASHIHUNDU Mabingwa mara 13 wa Ligi Kuu Nchini, AFC Leopards wameandikisha ushindi mkubwa baada ya kuicharaza Dandora Love 6-1...
- by T L
- March 11th, 2022
Kocha wa AFC Leopards ataka sheria za FIFA zifuatwe ligini
NA JOHN ASHIHUNDU KOCHA wa AFC Leopards Patrick Aussems ameitaka kamati ya muda inayosimamia soka nchini ihakikishe sheria za FIFA...
- by T L
- March 7th, 2022
Bandari FC yatoka sare na AFC Leopards
Na STEVEN HEYWOOD TIMU ya Bandari imeponyoka na pointi moja dhidi ya mahasimu wao wa jadi AFC Leopards katika mechi ya Ligi Kuu ya Kenya...
- by T L
- November 22nd, 2021
Kocha auchemkia uongozi wa Ingwe Leopards kuhusu mishahara
Na CECIL ODONGO MKUFUNZI wa AFC Leopards Patrick Aussems jana alizama mtandaoni kulalamikia njaa huku akikashifu uongozi wa klabu hiyo...
Ochan, Sichenje watia saini kandarasi mpya Ingwe huku sajili wapya wa Gor wakipata vibali vya FIFA
Na CHRIS ADUNGO KIUNGO mkabaji Collins Sichenje na kipa Benjamin Ochan wamerefusha vipindi vya kuhudumu kwao kambini mwa mabingwa mara...
Afueni tele AFC Leopards wakipata udhamini wa Galana Oil Kenya
Na CHRIS ADUNGO MABINGWA mara 13 wa Ligi Kuu ya Kenya (KPL), AFC Leopards, wamepigwa jeki kifedha baada ya kampuni ya Galana Oil...
- by adminleo
- July 13th, 2020
Harrison Mwendwa katika rada kali ya AFC Leopards
Na CHRIS ADUNGO AFC Leopards wamejitosa rasmi katika vita vya kuwania huduma za fowadi matata wa Kariobangi Sharks, Harrison Mwendwa,...
- by adminleo
- May 24th, 2020
Nyota walioshindia AFC Leopards taji mwaka 1998 na shughuli wanazofanya miaka 22 baadaye
Fahamu nyota walioshindia AFC Leopards taji la mwisho la Ligi Kuu miaka 22 iliyopita Na GEOFFREY ANENE KLABU ya AFC Leopards...
- by adminleo
- May 24th, 2020
Sofapaka wataka AFC Leopards waombe msamaha kwa kuwadunisha
Na CHRIS ADUNGO KIKOSI cha Sofapaka kinachoshiriki Ligi Kuu ya Kenya (KPL) sasa kinataka mwenyekiti wa AFC Leopards, Dan Shikanda,...
- by adminleo
- February 22nd, 2020
Ingwe yang’aria Sofapaka tena mechi ya ligi KPL
Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards ilionjesha Sofapaka makali yake baada ya kuichabanga 2-1 katika mechi ya kusisimua ya Ligi Kuu (KPL)...
- by adminleo
- November 9th, 2019
K’Ogalo, Ingwe tayari kupepeta gozi KPL Jumapili
Na JEFF KINYANJUI na JOHN ASHIHUNDU MAKOCHA wote, Andre Casa Mbungo wa AFC Leopards na mwenzake Steven Polack wa Gor Mahia wameeleza...
- by adminleo
- September 21st, 2019
Kibarua Ingwe ikigaragazana na ‘wadosi’ Wazito
Na CECIL ODONGO KIVUMBI kikali kinatarajiwa leo Jumamosi katika uga wa Bukhungu mjini Kakamega pale AFC Leopards itakapochuana na...