Tag: ajira
- by adminleo
- June 4th, 2020
‘Wakenya milioni moja wamepoteza kazi’
NA PAUL WAFULA WAKENYA wapatao milioni moja wamepoteza ajira au kuwekwa kwa likizo isiyo na malipo kutokana na makali ya ugonjwa wa...
- by adminleo
- June 1st, 2020
Mashakani kwa kujifanya waajiri hospitalini
TITUS OMINDE Watu wawili washtakiwa kwa ulaghai baada ya kumhadaa mwanabiashra mmoja na kupata Sh200,000 kwa madai kwamba wangemsaidia...
- by adminleo
- May 22nd, 2020
Corona yakosesha kazi Wakenya zaidi ya 300,000
Na WANDERI KAMAU ZAIDI ya Wakenya 300,000 wamepoteza ajira zao tangu kuzuka kwa virusi vya corona mnamo Machi, zimeonyesha takwimu...
- by adminleo
- May 3rd, 2020
Vijana 1,500 mjini Thika kunufaika na mpango wa serikali kuwapa ajira
Na LAWRENCE ONGARO VIJANA mjini Thika watanufaika na mpango wa serikali wa kuwaajiri kazi mitaani ili wajikimu kimaisha. Mbunge wa...
- by adminleo
- April 22nd, 2020
Corona ilivyozima ndoto za vijana
Na Steve Mokaya Huku gonjwa la COVID-19 likizidi kusagaa ulimwenguni kote na kuwaathiri walimwengu mbalimbali, vijana humu nchini...
- by adminleo
- April 8th, 2020
Marufuku yafuta kazi maelfu ya wananchi
CHARLES WASONGA na WACHIRA MWANGI VITUO vya magari ya uchukuzi wa abiria kutoka Nairobi kwenda kaunti za mbali, jana vilisalia mahame...
- by adminleo
- March 5th, 2020
RIZIKI: Habagui kazi licha ya kuwa mhitimu
Na SAMMY WAWERU MWANADADA huyu ni mhitimu wa mwaka 2012 lakini kufikia sasa analazimika kufanya kazi za juakali kwa sababu hajawahi...
- by adminleo
- February 29th, 2020
RIZIKI: Mwanadada anayesema ajira haihitaji mtu kujiuza kimwili
Na SAMMY WAWERU KATIKA kikao cha mahojiano na Magdalene Wanjiru katika mkahawa mmoja kiungani mwa jiji la Nairobi, kila anapozungumza...
- by adminleo
- February 10th, 2020
Walimu wapinga ajira ya kandarasi
Na RICHARD MUNGUTI WALIMU waliohitimu na ambao hawajaajiriwa na tume ya walimu nchini TSC wamepinga hatua ya kuajiriwa kama...
- by adminleo
- January 29th, 2020
Sera duni kuhusu ajira, SMEs ndicho kiini cha ufukara Kenya – utafiti
Na MARY WANGARI SERA duni zinazowabagua wamiliki biashara ndogondogo na za wastani (SMEs) pamoja na ajira isiyo rasmi ndicho kiini cha...
- by adminleo
- January 20th, 2020
Gavana apiga muuguzi kalamu kwa kuchelewa kufika kazini
Na OSCAR KAKAI MUUGUZI wa kituo cha afya katika Kaunti ya Pokot Magharibi, alifutwa kazi jana Gavana John Lonyangapuo alipozuru hapo...
- by adminleo
- January 15th, 2020
Nafasi za kazi kwa wanaosaka ajira
NA MARY WANGARI Nini: Mwalimu Mkuu, Walimu wa Grade 1, PP1 Wapi: Shule ya The Firm Roots Unachohitaji: Cheti cha digrii au...