Tag: amason kingi
- by T L
- December 8th, 2022
Mung’aro aunga azma ya Kingi kuwa rais 2032
MAUREEN ONGALA Na VALENTINE OBARA GAVANA wa Kilifi, Bw Gideon Mung’aro, ameahidi kuunga mkono azma ya Spika wa Seneti, Bw Amason Kingi...
- by T L
- January 30th, 2022
KIGODA CHA PWANI: PAA yayumba kuhusu itakayeunga kwa urais
NA PHILIP MUYANGA JE, msimamo wa chama cha Pamoja African Alliance (PAA) kuhusiana na uungaji mkono wa wagombeaji wa urais ni...
- by T L
- January 29th, 2022
Kingi aonya wakazi dhidi ya kuuza ardhi na kubakia maskwota
Na ALEX KALAMA GAVANA wa Kaunti ya Kilifi Amason Kingi amewaonya wakazi dhidi ya kuuza ardhi zao kiholela na kuchangia mizozo ya ardhi...
- by T L
- December 14th, 2021
Magavana wa Pwani wapata presha kali kuungana
ALEX KALAMA na VALENTINE OBARA SHINIKIZO imezidi kutolewa kwa magavana watatu wa Pwani waepuke kutengana katika uchaguzi...
- by T L
- December 13th, 2021
Kingi awaacha wafuasi wake kwenye mataa
Na BRIAN OCHARO CHAMA cha Pamoja African Alliance (PAA), kinachoongozwa na Gavana wa Kilifi, Bw Amason Kingi, kimepanga kuandaa mkutano...
- by T L
- December 4th, 2021
Kingi afunguka roho kuhusu PAA, uhusiano wake na Raila
Na PETER NGARE GAVANA Amason Kingi wa Kilifi ametetea hatua yake ya kubuni chama cha Pamoja African Alliance (PAA), akisema wakati...
- by T L
- December 2nd, 2021
Serikali iharakishe miradi ya Italia – Kingi
Na MAUREEN ONGALA GAVANA wa Kilifi, Bw Amason Kingi, ameomba serikali ya kitaifa iharakishe kuidhinisha maelewano na serikali ya Italia,...
- by T L
- December 1st, 2021
Ni Ruto au Raila? PAA yajipata ikijikuna kichwa
Na BRIAN OCHARO CHAMA cha Pamoja African Alliance (PAA) kinachohusishwa na Gavana wa Kilifi Amason Kingi, sasa kimeanzisha mchakato wa...
- by T L
- November 9th, 2021
Chama cha PAA chaahirisha uzinduzi
Na MAUREEN ONGALA CHAMA cha Pamoja African Alliance (PAA) kinachohusishwa na Gavana wa Kilifi Amason Kingi, kimeahirisha uzinduzi wake...
- by T L
- November 4th, 2021
Maskini jeuri wakataa chakula kwa sababu ya siasa
Na MAUREEN ONGALA WAKAZI wa eneobunge la Ganze, Kaunti ya Kilifi, walisusia chakula cha msaada walichopelekewa na Gavana Amason Kingi...
ODM haitambui PAA, asema Mbunge
Na MAUREEN ONGALA CHAMA cha Pamoja African Alliance (PAA) cha Gavana wa Kilifi Amason Kingi kinazidi kupata upinzani mkali mashinani...
Kingi apuuzilia mbali shinikizo kumtaka ajiunge na Ruto
WACHIRA MWANGI na MAUREEN ONGALA GAVANA wa Kilifi, Bw Amason Kingi, amepuuzilia mbali wanasiasa wa Pwani ambao wamekuwa wakimshinikiza...