• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 11:13 AM

Messi aweka rekodi ya kushinda tuzo ya Ballon d’Or kwa mara ya saba

Na MASHIRIKA FOWADI wa Paris Saint-Germain (PSG) na timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, ameweka rekodi ya kutwaa tuzo ya Ballon...

Mshindi wa zamani wa taji la Ballon d’Or, Hegerberg, arejea ulingoni baada ya jeraha kumweka nje kwa miezi 20

Na MASHIRIKA MSHINDI wa zamani wa taji la Ballon d’Or, Ada Hegerberg wa Olympique Lyon, amesema hatawahi kuchukulia soka kama suala la...

Van Dijk ana kila sababu ya kunyakua Ballon d’Or

NA CHRIS ADUNGO BAADA ya kuongoza Liverpool kutawazwa wafalme wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), beki Virgil van Dijk wa Uholanzi alitawazwa...

Mwanzo wa mwisho wa Messi na Ronaldo

NA CHRIS ADUNGO  MWANZONI mwa Desemba, kiungo Luka Modric wa Real Madrid na timu ya taifa ya Croatia alitawazwa mshindi wa taji la...

Mbappe aomba mshindi wa Ballon d’Or awe Mfaransa

NA CECIL ODONGO MWANASOKA chipukizi wa mibabe wa soka nchini Ufaransa PSG, Kylian Mbappe anaamini kwamba mchezaji bora ulimwenguni...