Tag: bastola
- by adminleo
- April 17th, 2019
Bastola zaibwa polisi wakishabikia mechi
NA TOM MATOKE BASTOLA tatu aina ya G3 zilizokuwa na risasi 20, Jumanne usiku ziliibwa katika Kituo cha Polisi wa Utawala cha Aldai,...
- by adminleo
- March 31st, 2019
Bastola ya polisi yaibwa akioga
Na NDUNGU GACHANE MAAFISA wa Idara ya upelezi wa jinai (DCI), Kaunti ya Murang’a, wanachunguza tukio ambapo silaha ya afisa wa kitengo...
- by adminleo
- March 10th, 2019
Uhuru apokea leseni mpya ya kumiliki silaha
Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta, Ijumaa alipokea leseni yake mpya ya kisasa ya kumiliki silaha kufuatia agizo lililotolewa na...
- by adminleo
- March 3rd, 2019
Polisi waua washukiwa 2 waliokuwa wakiuza risasi
NA OSCAR KAKAI Washukiwa wawili Jumamosi waliuawa kwa kupigwa risasi na maafisa wa polisi eneo la Kitalakapel kwenye barabara ya...
- by adminleo
- December 11th, 2018
Hofu wafanyabiashara wakilipa wahuni kuua washindani wao
Na NICHOLAS KOMU WAFANYABIASHARA mjini Nyeri sasa wanatumia magenge ya wahalifu kuhangaisha na kuwaua washindani wao wa kibiashara,...
- by adminleo
- November 22nd, 2018
DHULUMA: Niliosha maiti kwa siku 40 bastola ikiwa kichwani, asimulia mjakazi wa Huruma
NA CECIL ODONGO MASKINI hana lake, tena maskini kupata haki ni tajiri kupenda na kuipata haki yenyewe ni kibarua kigumu kama kuukwea...
- by adminleo
- September 18th, 2018
Shabiki wa Zoo aliyewatisha wapinzani kwa bastola taabani
Na CECIL ODONGO KAMPUNI inayoendesha ligi ya kuu nchini KPL imeanzisha uchunguzi kuhusu kisa kilichoshuhudiwa Jumapili Septemba 16...
- by adminleo
- September 12th, 2018
Bastola iliyopotea polisi akipambana na wauzaji bangi yapatikana
[caption id="attachment_10846" align="aligncenter" width="800"] Afisa wa polisi aonyesha bastola iliyopatikana katika Kituo cha Polisi cha...
- by adminleo
- May 12th, 2018
Polisi ashtakiwa kumuua mwenzake
[caption id="attachment_5751" align="aligncenter" width="800"] Wyclife Nyandisi Motanya (kulia) ambaye ni afisa wa polisi wa zamani akiwa...