• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:15 AM

Bastola zaibwa polisi wakishabikia mechi

NA TOM MATOKE BASTOLA tatu aina ya G3 zilizokuwa na risasi 20, Jumanne usiku ziliibwa katika Kituo cha Polisi wa Utawala cha Aldai,...

Bastola ya polisi yaibwa akioga

Na NDUNGU GACHANE MAAFISA wa Idara ya upelezi wa jinai (DCI), Kaunti ya Murang’a, wanachunguza tukio ambapo silaha ya afisa wa kitengo...

Uhuru apokea leseni mpya ya kumiliki silaha

Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta, Ijumaa alipokea leseni yake mpya ya kisasa ya kumiliki silaha kufuatia agizo lililotolewa na...

Polisi waua washukiwa 2 waliokuwa wakiuza risasi

NA OSCAR KAKAI Washukiwa wawili Jumamosi waliuawa kwa kupigwa risasi na maafisa wa polisi eneo la Kitalakapel kwenye barabara ya...

Hofu wafanyabiashara wakilipa wahuni kuua washindani wao

Na NICHOLAS KOMU WAFANYABIASHARA mjini Nyeri sasa wanatumia magenge ya wahalifu kuhangaisha na kuwaua washindani wao wa kibiashara,...

DHULUMA: Niliosha maiti kwa siku 40 bastola ikiwa kichwani, asimulia mjakazi wa Huruma

NA CECIL ODONGO MASKINI hana lake, tena maskini kupata haki ni tajiri kupenda na kuipata haki yenyewe ni kibarua kigumu kama kuukwea...

Shabiki wa Zoo aliyewatisha wapinzani kwa bastola taabani

Na CECIL ODONGO KAMPUNI inayoendesha ligi ya kuu nchini KPL imeanzisha uchunguzi kuhusu kisa kilichoshuhudiwa Jumapili Septemba 16...

Bastola iliyopotea polisi akipambana na wauzaji bangi yapatikana

[caption id="attachment_10846" align="aligncenter" width="800"] Afisa wa polisi aonyesha bastola iliyopatikana katika Kituo cha Polisi cha...

Polisi ashtakiwa kumuua mwenzake

[caption id="attachment_5751" align="aligncenter" width="800"] Wyclife Nyandisi Motanya (kulia) ambaye ni afisa wa polisi wa zamani akiwa...