Tag: BI TAIFA
- by adminleo
- December 23rd, 2019
BI TAIFA DESEMBA 10, 2019
Faith Nyaranga 27 ndiye anatupambia tovuti yetu leo. Yeye ni mwigizaji kutoka jijini Nairobi . Anapenda kusoma na kutazama filamu za Soap...
- by adminleo
- December 23rd, 2019
BI TAIFA DESEMBA 9, 2019
Lucy Tash, 25, ndiye mgeni wetu leo. Yeye ni mfanyibiashara katika duka moja mjini Nakuru. Uraibu wake ni kutazama filamu na kusakata...
- by adminleo
- December 23rd, 2019
BI TAIFA DESEMBA 8, 2019
Mgeni wetu leo anajulikana kama Mercy Siti Waridi 20. Yeye ni mkazi wa Kikopey kaunti ndogo ya Gilgil. Mbali na kushiriki mashindano ya...
- by adminleo
- December 23rd, 2019
BI TAIFA DESEMBA 7, 2019
Rahab Muruga, 25 ni mzaliwa wa kaunti ya Kericho.Y eye ni mfanyibiashara na mwanamitindo. Uraibu wake ni kusakata kabumbu na kujumuika na...
- by adminleo
- December 23rd, 2019
BI TAIFA DESEMBA 6, 2019
Catherine Bosire, 26, ndiye mgeni wetu, yeye ni mzaliwa wa kaunti ya Nyamira.Akipata muda anapenda kusakata densi na kujumuika na...
- by adminleo
- December 23rd, 2019
BI TAIFA DESEMBA 5, 2019
Anne Nduta Kung'u, 30, ni mfanyibiashara kutoka Stem Lanet. Uraibu wake ni kutazama filamu na kusikiliza muziki wa kizazi...
- by adminleo
- December 23rd, 2019
BI TAIFA DESEMBA 4, 2019
Sarah Miraji, 20, ndiye malkia wetu leo, yeye ni mwanamitindo na mfanyibiashara mwenye tajriba pana katika ulingo wa vipodozi. Akipata muda...
- by adminleo
- December 23rd, 2019
BI TAIFA DESEMBA 3, 2019
Eunice Kwanzu, 23, ndiye anatupambia tovuti yetu, yeye ni mwigizaji chipukizi kutoka jijini Nairobi, akipata muda anapenda kubuni muziki na...
- by adminleo
- December 23rd, 2019
BI TAIFA DESEMBA MOSI 2019
Grace Githinji 19 ndiye anatupambia tovuti yetu leo, yeye ni mwanamitindo kutoka Nakuru. Uraibu wake ni kusafiri na kutazama filamu....
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 25, 2019
Getrude Jerono, 20, ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu Cha Eldoret. Anapenda kusikiliza muziki wa kizazi kipya. Picha/Richard Maosi
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 24, 2019
Diana Makenzi, 21, ni mtaalamu wa mapambo na mitindo ya mavazi kutoka eneo la Tala, Kaunti ya Machakos. Anapenda kuchora na kusikiliza...
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 23, 2019
Sharon Kitalal, 21, ni mwanafunzi wa ulimbwende kutoka Chuo Kikuu Cha Eldoret. Uraibu wake ni kuchora na kusakata kambumbu. Picha/Richard...