• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 6:27 PM

BI TAIFA DESEMBA 10, 2019

Faith Nyaranga 27 ndiye anatupambia tovuti yetu  leo. Yeye ni mwigizaji kutoka jijini Nairobi . Anapenda kusoma na kutazama filamu za Soap...

BI TAIFA DESEMBA 9, 2019

Lucy Tash, 25,  ndiye mgeni wetu leo. Yeye ni mfanyibiashara katika duka moja mjini Nakuru. Uraibu wake ni kutazama filamu na kusakata...

BI TAIFA DESEMBA 8, 2019

Mgeni wetu leo anajulikana kama Mercy Siti Waridi 20. Yeye ni mkazi wa Kikopey kaunti ndogo ya Gilgil. Mbali na kushiriki mashindano ya...

BI TAIFA DESEMBA 7, 2019

Rahab Muruga, 25 ni mzaliwa wa kaunti ya Kericho.Y eye ni mfanyibiashara na mwanamitindo. Uraibu wake ni kusakata kabumbu na kujumuika na...

BI TAIFA DESEMBA 6, 2019

Catherine Bosire, 26, ndiye mgeni wetu, yeye ni mzaliwa wa kaunti ya Nyamira.Akipata muda anapenda kusakata densi na kujumuika na...

BI TAIFA DESEMBA 5, 2019

Anne Nduta Kung'u, 30, ni mfanyibiashara kutoka Stem Lanet. Uraibu wake ni kutazama filamu na kusikiliza muziki wa kizazi...

BI TAIFA DESEMBA 4, 2019

Sarah Miraji, 20, ndiye malkia wetu leo, yeye ni mwanamitindo na mfanyibiashara mwenye tajriba pana katika ulingo wa vipodozi. Akipata muda...

BI TAIFA DESEMBA 3, 2019

Eunice Kwanzu, 23, ndiye anatupambia tovuti yetu, yeye ni mwigizaji chipukizi kutoka jijini Nairobi, akipata muda anapenda kubuni muziki na...

BI TAIFA DESEMBA MOSI 2019

Grace Githinji 19 ndiye anatupambia tovuti yetu leo, yeye ni mwanamitindo kutoka Nakuru. Uraibu wake ni kusafiri na kutazama filamu....

BI TAIFA NOVEMBA 25, 2019

Getrude Jerono, 20, ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu Cha Eldoret. Anapenda kusikiliza muziki wa kizazi kipya. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA NOVEMBA 24, 2019

Diana Makenzi, 21, ni mtaalamu wa mapambo na mitindo ya mavazi kutoka eneo la Tala, Kaunti ya Machakos. Anapenda kuchora na kusikiliza...

BI TAIFA NOVEMBA 23, 2019

Sharon Kitalal, 21, ni mwanafunzi wa ulimbwende kutoka Chuo Kikuu Cha Eldoret. Uraibu wake ni kuchora na kusakata kambumbu. Picha/Richard...