Tag: brazil
- by T L
- November 13th, 2021
Brazil wakomoa Colombia na kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia 2022
Na MASHIRIKA BRAZIL imekuwa timu ya kwanza kutoka Amerika Kusini kufuzu kwa fainali zijazo za Kombe la Dunia za 2022 nchini Qatar baada...
Brazil yaita kambini masogora wanane wanaopiga soka Uingereza kwa ajili ya mechi za kufuzu kwa Kombe la Dunia
Na MASHIRIKA BRAZIL wameteua masogora wanane wanaotandaza soka ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa ajili ya michuano ya Oktoba ya kufuzu...
Gozi la Brazil dhidi ya Argentina latibuka kwa madai wanasoka wanne wa Argentina walikiuka kanuni za Covid-19
Na MASHIRIKA GOZI la Jumapili la kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia za 2022 kati ya wenyeji Brazil na Argentina lilitibuka dakika...
Brazil na Ivory Coast nguvu sawa kwenye Olimpiki
Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Olimpiki, Brazil, walilazimishiwa sare tasa na Ivory Coast kwenye mchuano wa Kundi D mnamo Jumapili...
Brazil na Ivory Coast kuumiza nyasi leo
YOKOHAMA, Japan BAADA ya kushinda mechi zao za ufunguzi katika Kundi D kwenye Olimpiki zinazoendelea nchini Japan, Brazil na Ivory Coast...
Brazil wakomoa Chile na kuingia nusu-fainali za Copa America
Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi Brazil walitinga nusu-fainali za Copa America baada ya kuwapokeza Chile kichapo cha 1-0 mnamo Ijumaa...
- by adminleo
- June 12th, 2020
Thiago Silva awaniwa na klabu tano za EPL
Na MASHIRIKA THIAGO Silva amesema atahiari kusalia katika mojawapo ya klabu za bara Ulaya kwa misimu miwili zaidi baada ya waajiri wake...
- by adminleo
- June 10th, 2020
Brazil yatupa mipango ya kuandaa fainali za Kombe la Dunia soka ya wanawake 2023
Na CHRIS ADUNGO BRAZIL imefutilia mbali mipango ya kuandaa fainali za Kombe la Dunia za soka ya wanawake mnamo 2023. Kwa mujibu wa...
- by adminleo
- November 15th, 2019
Uadui wa Argentina, Brazil wafufuka leo Ijumaa
Na MASHIRIKA ARGENTINA itakaribisha washambuliaji matata Lionel Messi na Sergio Aguero katika kikosi chake itakapofufua uhasama leo...
- by adminleo
- October 11th, 2019
Firmino, Mane wang’aa gozi la Brazil na Senegal
Na MASHIRIKA IDARA ya ushambuliaji ya Liverpool ilitoa nyota wa mechi ya kirafiki huku Brazil ikikabwa 1-1 na Senegal mnamo Alhamisi...
- by adminleo
- June 7th, 2019
MKEKANI TENA: Huenda Neymar akose Copa America
Na MASHIRIKA BRASILIA, Brazil NYOTA Neymar, ambaye anakabiliwa na madai ya ubakaji, alirejea mkekani baada ya kuumia kifundo cha mguu...
- by adminleo
- May 21st, 2018
VITUKO UGHAIBUNI: Mtoto wa miujiza azaliwa katika kisiwa ambapo kupata mimba ni marufuku
AFP na VALENTINE OBARA RIO DE JANEIRO, BRAZIL KISIWA kilicho Brazil kimepata mtoto wa kwanza baada ya miaka 12, kwani kuna marufuku dhidi...