• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 5:46 PM

Brazil wakomoa Colombia na kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia 2022

Na MASHIRIKA BRAZIL imekuwa timu ya kwanza kutoka Amerika Kusini kufuzu kwa fainali zijazo za Kombe la Dunia za 2022 nchini Qatar baada...

Brazil yaita kambini masogora wanane wanaopiga soka Uingereza kwa ajili ya mechi za kufuzu kwa Kombe la Dunia

Na MASHIRIKA BRAZIL wameteua masogora wanane wanaotandaza soka ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa ajili ya michuano ya Oktoba ya kufuzu...

Gozi la Brazil dhidi ya Argentina latibuka kwa madai wanasoka wanne wa Argentina walikiuka kanuni za Covid-19

Na MASHIRIKA GOZI la Jumapili la kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia za 2022 kati ya wenyeji Brazil na Argentina lilitibuka dakika...

Brazil na Ivory Coast nguvu sawa kwenye Olimpiki

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Olimpiki, Brazil, walilazimishiwa sare tasa na Ivory Coast kwenye mchuano wa Kundi D mnamo Jumapili...

Brazil na Ivory Coast kuumiza nyasi leo

YOKOHAMA, Japan BAADA ya kushinda mechi zao za ufunguzi katika Kundi D kwenye Olimpiki zinazoendelea nchini Japan, Brazil na Ivory Coast...

Brazil wakomoa Chile na kuingia nusu-fainali za Copa America

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi Brazil walitinga nusu-fainali za Copa America baada ya kuwapokeza Chile kichapo cha 1-0 mnamo Ijumaa...

Thiago Silva awaniwa na klabu tano za EPL

Na MASHIRIKA THIAGO Silva amesema atahiari kusalia katika mojawapo ya klabu za bara Ulaya kwa misimu miwili zaidi baada ya waajiri wake...

Brazil yatupa mipango ya kuandaa fainali za Kombe la Dunia soka ya wanawake 2023

Na CHRIS ADUNGO BRAZIL imefutilia mbali mipango ya kuandaa fainali za Kombe la Dunia za soka ya wanawake mnamo 2023. Kwa mujibu wa...

Uadui wa Argentina, Brazil wafufuka leo Ijumaa

Na MASHIRIKA ARGENTINA itakaribisha washambuliaji matata Lionel Messi na Sergio Aguero katika kikosi chake itakapofufua uhasama leo...

Firmino, Mane wang’aa gozi la Brazil na Senegal

Na MASHIRIKA IDARA ya ushambuliaji ya Liverpool ilitoa nyota wa mechi ya kirafiki huku Brazil ikikabwa 1-1 na Senegal mnamo Alhamisi...

MKEKANI TENA: Huenda Neymar akose Copa America

Na MASHIRIKA BRASILIA, Brazil NYOTA Neymar, ambaye anakabiliwa na madai ya ubakaji, alirejea mkekani baada ya kuumia kifundo cha mguu...

VITUKO UGHAIBUNI: Mtoto wa miujiza azaliwa katika kisiwa ambapo kupata mimba ni marufuku

AFP na VALENTINE OBARA RIO DE JANEIRO, BRAZIL KISIWA kilicho Brazil kimepata mtoto wa kwanza baada ya miaka 12, kwani kuna marufuku dhidi...