• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 3:23 PM

Hofu idadi ya walimu wanaokufa karibu na maeneo ya chang’aa ikiongezeka

Na Wycliffe Nyaberi VISA vya walimu kupatikana wamekufa katika hali ya kutatanisha karibu na maeneo ya kuuza pombe aina ya chang’aa...

Wanakijiji wawaka wakidai chifu mpenda hongo alisababisha kifo cha muuzaji chang’aa

NA STEVE MOKAYA Jumanne, mwendo wa saa kumi na moja jioni, Wilfred Omoyo Nyaanga, mwenye umri wa miaka 47, na baba wa mtoto mmoja wa...

Polisi akamatwa kwa kutia chang’aa maji

NA MWANDISHI WETU  AFISA wa Polisi amekamatwa akidaiwa kuiba chang’aa iliyonaswa kwenye msako, kisha kujaza maji kwenye vibuyu...

Muuzaji chang’aa aliyewapiga machifu wanne aachiliwa kwa dhamana ya Sh25,000 pesa taslimu

Na MARY WANGARI MAHAKAMA moja Kiambu mnamo Alhamisi imemwachilia kwa dhamana ya Sh25,000 pesa taslimu mwanamume aliyewapokeza kichapo...

Onyo kali kwa wanaotumia watoto kuuza chang’aa

Na MISHI GONGO MKURUGENZI wa kukabiliana na makosa ya jinai (DCIO) katika eneobunge la Changamwe mjini Mombasa Bw Josiah Jiro amewaonya...

Chang’aa ni dawa ya homa ya matumbo, mshtakiwa aambia hakimu

Na BENSON MATHEKA Mwanamume Jumatano alizua kicheko katika mahakama ya Kibera, Nairobi kwa kudai kwamba chang’aa huwa inamsaidia...

URAIBU WA POMBE: ‘Githeri Man’ angali mtumwa wa chang’aa

Na SAMMY WAWERU MARTIN Kamotho Njenga aliibua ucheshi mitandaoni na katika vyombo vya habari wakati wa uchaguzi mkuu wa Agosti 8, 2017,...