Tag: chang’aa
- by T L
- October 25th, 2021
Hofu idadi ya walimu wanaokufa karibu na maeneo ya chang’aa ikiongezeka
Na Wycliffe Nyaberi VISA vya walimu kupatikana wamekufa katika hali ya kutatanisha karibu na maeneo ya kuuza pombe aina ya chang’aa...
- by adminleo
- May 6th, 2020
Wanakijiji wawaka wakidai chifu mpenda hongo alisababisha kifo cha muuzaji chang’aa
NA STEVE MOKAYA Jumanne, mwendo wa saa kumi na moja jioni, Wilfred Omoyo Nyaanga, mwenye umri wa miaka 47, na baba wa mtoto mmoja wa...
- by adminleo
- February 2nd, 2020
Polisi akamatwa kwa kutia chang’aa maji
NA MWANDISHI WETU AFISA wa Polisi amekamatwa akidaiwa kuiba chang’aa iliyonaswa kwenye msako, kisha kujaza maji kwenye vibuyu...
- by adminleo
- January 2nd, 2020
Muuzaji chang’aa aliyewapiga machifu wanne aachiliwa kwa dhamana ya Sh25,000 pesa taslimu
Na MARY WANGARI MAHAKAMA moja Kiambu mnamo Alhamisi imemwachilia kwa dhamana ya Sh25,000 pesa taslimu mwanamume aliyewapokeza kichapo...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
Onyo kali kwa wanaotumia watoto kuuza chang’aa
Na MISHI GONGO MKURUGENZI wa kukabiliana na makosa ya jinai (DCIO) katika eneobunge la Changamwe mjini Mombasa Bw Josiah Jiro amewaonya...
- by adminleo
- June 19th, 2019
Chang’aa ni dawa ya homa ya matumbo, mshtakiwa aambia hakimu
Na BENSON MATHEKA Mwanamume Jumatano alizua kicheko katika mahakama ya Kibera, Nairobi kwa kudai kwamba chang’aa huwa inamsaidia...
- by adminleo
- February 15th, 2019
URAIBU WA POMBE: ‘Githeri Man’ angali mtumwa wa chang’aa
Na SAMMY WAWERU MARTIN Kamotho Njenga aliibua ucheshi mitandaoni na katika vyombo vya habari wakati wa uchaguzi mkuu wa Agosti 8, 2017,...