• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 8:55 PM

Kinyang’anyiro cha ugavana Kakamega kuzua kivumbi kikali

NA BENSON AMADALA KITI cha ugavana katika Kaunti ya Kakamega kimezua ushindani mkubwa miongoni mwa wawaniaji wa vyama vya ODM, ANC na...

ANC kusajili wanachama wapya

Na CHARLES WASONGA SENETA wa Kakamega Cleophas Malala amesema Jumapili chama cha Amani National Congress (ANC) kitaanzisha usajili wa...

Ole Kina na Buzeki kujiunga na ANC, adokeza Malala

Na CHARLES WASONGA SENETA wa Kakamega Cleophas Malala Jumapili alifichua kuwa Seneta wa Narok Ladema Ole Kina na aliyekuwa mgombea wa...

Seneta ashtakiwa kwa wizi wa mabavu

Na SHABAN MAKOKHA SENETA Cleophas Malala wa Kakamega, Jumatano aliachiliwa na mahakama kwa dhamana ya Sh2.5 milioni kuhusiana na ghasia...

Wanasiasa waanza kushtakiwa kwa vurugu chaguzini

Na WAANDISHI WETU SENETA wa Kakamega Cleophas Malala na Mbunge wa Mugirango Kusini Silvanus Osoro waliachiliwa Jumatatu kwa dhamana...

Waliozua fujo watatiwa adabu au ni vitisho baridi tulivyozoeshwa?

Na WANDERI KAMAU TUME ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano (NCIC) imewaagiza wabunge 10 kufika mbele yake hapo kesho, kufuatia ghasia...

Malala alia kuna wizi wa kura Matungu

Na SAMMY WAWERU SENETA wa Kakamega Cleophas Malala amesema chama cha ANC hakitakubali matokeo ya kura ya eneobunge la Matungu, Kaunti ya...

Malala amtaka Rais kuadhibu wanaomsumbua chamani

Na SAMMY WAWERU Seneta wa Kakamega Bw Cleophas Malala amemhimiza Rais Uhuru Kenyatta kuelekeza mjeledi kwa viongozi na wanasiasa...

Polisi wazima mkutano wa Mudavadi mjini Mbale

NA DERRICK LUVEGA KINARA wa chama cha Amani National Congress (ANC) Bw Musalia Mudavadi alilazimika kuhutubia wafuasi wake kando ya...

DCI yataka Malala ashtakiwe

Na MARY WANGARI MKURUGENZI wa Idara ya Kuchunguza Uhalifu (DCI), George Kinoti anataka Seneta wa Kakamega Cleophas Malala ashtakiwe kwa...

Malala azimwa kwenda Ikulu

  Na CHARLES WASONGA SAA chache baada ya Seneta wa Kakamega Cleophas Malala kububujikwa machozi mbele ya wenzake na wakuu wa...

Serikali inavyojenga wanasiasa ikidhani inawatia adabu!

Na WANDERI KAMAU HATUA ya polisi kuwakamata maseneta watatu Jumatatu na kuwazuia kushiriki kura muhimu kuhusu Mfumo wa Ugavi wa Mapato...