• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:33 AM

Seneta taabani tena kwa dai la kujeruhi mwanamke

KALUME KAZUNGU na JAMES MURIMI SENETA wa Kaunti ya Lamu, Bw Anwar Loitiptip, amejipata taabani tena baada ya kudaiwa kumpiga risasi...

Wanafunzi watatu wa Thika School for the Blind ni wajawazito

Na LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya kuwalinda wanafunzi walemavu hasa wasioona ili kuwaepusha na changamoto wanazopitia. Afisa mkuu wa...

Kilichomng’oa Sheffie Weru kazini chapata shahidi mpya, asema ni upuuzi tu

Na MWANGI MUIRURI Kisa cha wapenzi wawili ambacho kimeishia kumng’oa kazini mtangazaji mwenye uzooefu mkubwa Shaffie Weru kutoka ajira...

DHULUMA ZA KIMAPENZI: Serikali yaitia adabu Homeboyz Radio

Na MARY WANGARI MAMLAKA ya Mawasiliano ya Kenya (CAK) imechukua hatua za kinidhamu dhidi ya kampuni inayomiliki kituo cha Homeboyz Radio...

Mwanaume akata mkewe miguu kwa kumtoroka

Na WYCLIFFE NYABERI MWANAMKE katika Kaunti ya Kisii anauguza majeraha mabaya ya upanga hospitalini baada ya mumewe kumkata miguu akidai...

Siombi radhi, Wambua ni dume katili, Nzilani sasa asema

NA PIUS MAUNDU Kwa mtu aliyejipata katikati ya zogo la kifamilia lililosambaa kote nchini, Jackline Nzilani anaonekana mwenye utulivu...

Ripoti: Wanaume walipigwa zaidi na wanawake kipindi cha corona

Na WANDERI KAMAU WANAUME wengi walipigwa ama kutukanwa na wapenzi wao walipokuwa wakikaa nyumbani kutokana na kanuni za kukabili virusi...

Achoshwa na dhuluma za kimapenzi, awatilia wazazi sumu

Na Stephen Oduor Mwanamke mmoja na mumewe walihepa kifo Jumamosi baada ya  mwana wao wa kike kuwakwekea sumu kwenye maji ya kunywa...

UNFPA yataka dhuluma dhidi ya wanawake katika jamii zikome

Na Pauline Ongaji MMOJA kati ya wanawake watatu duniani hushuhudia dhuluma za kijinsia kutoka kwa wapenzi au waume zao. Mkurugenzi...

Dhuluma za kimapenzi dhidi ya watoto zikomeshwe – Wabunge wanawake

Na CHARLES WASONGA WABUNGE wanawake Jumatano wameshtumu kuongezeka kwa visa vya dhuluma za kimapenzi dhidi watoto wakiapa kuandamana...

CATHERINE NYOKABI: Ndoa ya harusi ilivyoishia kwa talaka

Na SAMMY WAWERU VISA vya unyanyasaji na dhuluma za kijinsia nchini katika miaka ya hivi punde vimeonekana kuongezeka. Nyingi ya visa...

Maaskofu na mapadri hunyemelea watawa kimapenzi – Papa Francis

Na MASHIRIKA KIONGOZI wa Kanisa Katoliki ulimwenguni, Papa Francis amekiri watawa wengi wamekuwa wakidhulumiwa kimapenzi na mapadri na...