Tag: dhuluma za kimapenzi
- by T L
- October 25th, 2021
Seneta taabani tena kwa dai la kujeruhi mwanamke
KALUME KAZUNGU na JAMES MURIMI SENETA wa Kaunti ya Lamu, Bw Anwar Loitiptip, amejipata taabani tena baada ya kudaiwa kumpiga risasi...
Wanafunzi watatu wa Thika School for the Blind ni wajawazito
Na LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya kuwalinda wanafunzi walemavu hasa wasioona ili kuwaepusha na changamoto wanazopitia. Afisa mkuu wa...
Kilichomng’oa Sheffie Weru kazini chapata shahidi mpya, asema ni upuuzi tu
Na MWANGI MUIRURI Kisa cha wapenzi wawili ambacho kimeishia kumng’oa kazini mtangazaji mwenye uzooefu mkubwa Shaffie Weru kutoka ajira...
DHULUMA ZA KIMAPENZI: Serikali yaitia adabu Homeboyz Radio
Na MARY WANGARI MAMLAKA ya Mawasiliano ya Kenya (CAK) imechukua hatua za kinidhamu dhidi ya kampuni inayomiliki kituo cha Homeboyz Radio...
Mwanaume akata mkewe miguu kwa kumtoroka
Na WYCLIFFE NYABERI MWANAMKE katika Kaunti ya Kisii anauguza majeraha mabaya ya upanga hospitalini baada ya mumewe kumkata miguu akidai...
Siombi radhi, Wambua ni dume katili, Nzilani sasa asema
NA PIUS MAUNDU Kwa mtu aliyejipata katikati ya zogo la kifamilia lililosambaa kote nchini, Jackline Nzilani anaonekana mwenye utulivu...
Ripoti: Wanaume walipigwa zaidi na wanawake kipindi cha corona
Na WANDERI KAMAU WANAUME wengi walipigwa ama kutukanwa na wapenzi wao walipokuwa wakikaa nyumbani kutokana na kanuni za kukabili virusi...
Achoshwa na dhuluma za kimapenzi, awatilia wazazi sumu
Na Stephen Oduor Mwanamke mmoja na mumewe walihepa kifo Jumamosi baada ya mwana wao wa kike kuwakwekea sumu kwenye maji ya kunywa...
- by adminleo
- November 14th, 2019
UNFPA yataka dhuluma dhidi ya wanawake katika jamii zikome
Na Pauline Ongaji MMOJA kati ya wanawake watatu duniani hushuhudia dhuluma za kijinsia kutoka kwa wapenzi au waume zao. Mkurugenzi...
- by adminleo
- February 20th, 2019
Dhuluma za kimapenzi dhidi ya watoto zikomeshwe – Wabunge wanawake
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wanawake Jumatano wameshtumu kuongezeka kwa visa vya dhuluma za kimapenzi dhidi watoto wakiapa kuandamana...
- by adminleo
- February 15th, 2019
CATHERINE NYOKABI: Ndoa ya harusi ilivyoishia kwa talaka
Na SAMMY WAWERU VISA vya unyanyasaji na dhuluma za kijinsia nchini katika miaka ya hivi punde vimeonekana kuongezeka. Nyingi ya visa...
- by adminleo
- February 7th, 2019
Maaskofu na mapadri hunyemelea watawa kimapenzi – Papa Francis
Na MASHIRIKA KIONGOZI wa Kanisa Katoliki ulimwenguni, Papa Francis amekiri watawa wengi wamekuwa wakidhulumiwa kimapenzi na mapadri na...