• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Diamond League 2022 kuanza Mei 13

Na GEOFFREY ANENE Shirikisho la Riadha Duniani limetangaza ratiba ya mbio za riadha za Diamond League mwaka 2022. Mshikilizi wa...

Wakenya kusisimua Diamond League Omanyala akishirikishwa mara ya kwanza

Na CHRIS ADUNGO MKENYA Ferdinand Omanyala, 28, atanogesha leo kivumbi cha Diamond League kwa mara ya kwanza katika mbio za 100m kwenye...

Kenya yafichua azma ya kuwa mwenyeji wa Diamond League 2023

Na CHRIS ADUNGO BAADA ya Kenya kuandaa Riadha za Dunia za Mabara za Kip Keino Classic kwa mafanikio makubwa mnamo Oktoba 3, 2020,...

Beatrice Chepkoech aidhinishwa kutifua kivumbi cha Diamond League

Na CHRIS ADUNGO BINGWA wa dunia katika mbio za mita 3,000 kuruka viunzi na maji, Beatrice Chepkoech Sitonik ni miongoni mwa mabingwa nne...

Obiri kustaafu riadha akivunja rekodi ya dunia katika mbio za mita 5,000

Na CHRIS ADUNGO HELLEN Obiri na Faith Kipyegon ni miongoni mwa Wakenya waliokuwa wafungue kampeni za Diamond League mjini Shanghai,...

Kazi kubwa kwa wanariadha ratiba mpya za IAAF na Diamond League zikitolewa

Na CHRIS ADUNGO MAKALA ya kwanza ya Riadha za Dunia za Continental Tour sasa yatafanyika jijini Nairobi mnamo Septemba 26, 2020. Katika...

Hofu IAAF ikipanga kuondoa baadhi ya mbio za Diamond

Na CHRIS ADUNGO WANARIADHA wa Kenya watapoteza kiasi kikubwa cha posho kwenye mbio za Diamond League, iwapo Shirikisho la Riadha Duniani...

Fataki zatarajiwa Diamond League Chepkoech na Chespol wakisaka ushindi

  Na GEOFFREY ANENE ITAKUWA fataki katika mbio za mita 3,000 kuruka viunzi na maji kwenye duru ya tano ya Riadha za Diamond...

Lekuta na Manangoi kusaka ushindi Riadha za Diamond League

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wapya wa Riadha za Dunia za Under-20, Solomon Lekuta na George Manangoi watatimka katika mbio za mita 1,000...

Kibarua kwa Obiri mita 3,000 Diamond League

[caption id="attachment_5487" align="aligncenter" width="800"] Mkimbiaji Sandrafelis Chebet baada ya kukamilisha mbio za nyika katika...

Kutazama Elijah Manangoi na nduguye wakimenyana? Utasubiri zaidi

Na GEOFFREY ANENE WAPENZI wa riadha watalazimika kusubiri zaidi kuona ndugu na mabingwa wa duani Elijah Manangoi na George Manangoi...

‘YouTube Man’ alenga kufufua makali yake Diamond League Qatar

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa dunia mwaka 2015 Julius ‘YouTube Man’ Yego atajaribu kufufua taaluma yake ya kurusha mkuki katika duru ya...