Tag: Dondoo
- by adminleo
- July 31st, 2019
Kipusa awaka kupata sketi kitandani
Na LEAH MAKENA SABAKI, SYOKIMAU Mgogoro ulizuka katika nyumba moja eneo hili kipusa aliyemtembelea mpenzi wake alipowaka kwa hasira...
- by adminleo
- July 30th, 2019
Demu aangua kilio alipokosa wa kumnunulia bia
Na JOHN MUSYOKI EMBU MJINI DEMU mmoja mjini hapa aliangua kilio wanaume walipokataa kumrushia mistari ya mapenzi na kumnunulia pombe....
- by adminleo
- July 28th, 2019
Jombi azimia kung’amua mke ana mwanaharamu
NA NICHOLAS CHERUIYOT BELGUT, KERICHO Jombi wa hapa, alizimia kwa muda baada ya kugundua kuwa mkewe ana mtoto wa kiume aliyezaa kabla...
- by adminleo
- July 15th, 2019
Mganga aonya pasta kwa kumchomea biashara
Na TOBBIE WEKESA HAMISI, VIHIGA KIOJA kilizuka eneo hili baada ya mganga kumshambulia pasta akimlaumu kwa kumharibia...
- by adminleo
- July 14th, 2019
Polo afumaniwa kwa jirani akiwa uchi
NA CORNELIUS MUTISYA KITENG’EI, MACHAKOS Kizaazaa kilizuka hapa kalameni mmoja alipovamiwa na wakazi waliomfumania katika boma la...
- by adminleo
- July 14th, 2019
Walimania zamu ya kualika vipusa
NA JOHN MUSYOKI KIEMBENI, MOMBASA KULISHUHUDIWA sinema ya bure mtaani hapa makalameni walipotwangana wakizozania zamu ya kujivinjari...
- by adminleo
- July 12th, 2019
‘Dozi’ ya mama pima yaleta balaa
Na NICHOLAS CHERUIYOT KONOIN, BOMET KULITOKEA kioja eneo hili jamaa alipomtimua mama pima kwa kujaribu kumpelekea baba yake anayeugua...
- by adminleo
- July 7th, 2019
Adhani kapata mke kumbe kicheche
Na John Musyoki KIAMBERE MJINI KALAMENI mmoja mjini hapa alijuta baada ya demu aliyemkaribisha kwake kumuibia pesa na simu. Duru...
- by adminleo
- July 6th, 2019
Demu akataa kuishi na wakwe kijijini
Na JOHN MUSYOKI MAKONGENI, THIKA KIOJA kilishuhudiwa katika boma moja hapa kipusa alipolaumiwa na wazazi wake kwa kumtema mpenzi wake...
- by adminleo
- July 2nd, 2019
Ajua hajui kumkasirisha demu
NA NICHOLAS CHERUIYOT BROOKE, KERICHO Kipusa wa hapa aliamua kumuaibisha jamaa aliyemtema kwa kuzua kioja chumbani mwake akidai hela...
- by adminleo
- June 30th, 2019
Pasta mla fuska abanwa na kidosho
Na Leah Makena ISINYA, KAJIANDO Pasta wa hapa, alilazimika kumkabidhi kidosho mmoja sadaka iliyotolewa kanisani ili asianike vitendo...
- by adminleo
- June 29th, 2019
Mume mchafu afungiwa bafuni aoge
Na JOHN MUSYOKI MLOLONGO, MACHAKOS KIOJA kilishuhudiwa kwenye ploti moja mjini hapa mwanadada alipomfungia kalameni ndani ya bafu...