Tag: GIKOMBA
- by T L
- November 8th, 2021
Tuambiwe ukweli, nani huchoma soko la Gikomba? Wakenya Twitter wawaka
Na WANGU KANURI WAKENYA katika mtandao wa kijamii wa Twitter wameghadhabishwa na visa vya moto vinavyozuka kila mara katika soko la...
Kibicho: Tutaweka kamera za siri Gikomba kudhibiti mikasa ya moto
Na SAMMY WAWERU KATIBU katika Wizara ya Usalama wa Ndani Dkt Karanja Kibicho amesema serikali inalenga kupata suluhu ya kudumu kudhibiti...
Binti wa chuo aeleza anavyovuna Sh300,000 kila mwezi kutokana na useremala
Na MAGDALENE WANJA Alipokuwa mchanga, Bi Parky Kamau alikuwa na mazoea ya kuandamana na mamaye kuelekea sokoni Gikomba ambako alipenda...
- by adminleo
- June 26th, 2020
Kibicho aonya wateketezaji soko Gikomba
Na SAMMY WAWERU SERIKALI imetoa onyo kwa wahuni wanaohangaisha wafanyabiashara wa soko la Gikomba, jijini Nairobi kupitia mikasa ya moto...
- by adminleo
- June 11th, 2019
Wachina wavamia Gikomba, Nyamakima na Kamukunji kuuza mitumba
Na EDWIN OKOTH WAKENYA Jumatatu walipokea kwa ghadhabu habari za Wachina kuvamia masoko ya Gikomba, Nyamakima na Kamukunji jijini...
- by adminleo
- November 7th, 2018
Sakaja aorodhesha sababu za moto kutokea Gikomba kila mara
Na CHARLES WASONGA MIZOZO ya ardhi, ukosefu wa bima na hali ya wafanyabiashara kuhujumiana kila mara ni baadhi ya sababu ambazo...
- by adminleo
- November 7th, 2018
GIKOMBA. Ndimi za moto zarudi kulamba mali ya mamilioni
Na PETER MBURU BAADHI ya wafanyabiashara katika soko la Gikomba, Jijini Nairobi wanakadiria hasara tele baada ya moto mkubwa uliozuka...
- by adminleo
- June 28th, 2018
GIKOMBA: Wengi waliangamia wakiwa usingizini
Na LUCY KILALO WAATHIRIWA watano wa tukio la moto katika Soko la Gikomba walifariki Alhamisi wakipokea matibabu katika Hospitali Kuu ya...
- by adminleo
- June 28th, 2018
GIKOMBA: Soko lenye historia ya mikasa ya moto
Na LUCY KILALO SOKO la Gikomba Alhamisi lilishuhudia tukio baya zaidi katika miaka ya hivi karibuni ambapo moto uliangamiza maisha ya...
- by adminleo
- June 28th, 2018
MKASA WA GIKOMBA: Moto uliwashwa makusudi, wadai wafanyabiashara
Na WANDERI KAMAU MIVUTANO kuhusu ardhi na ushindani wa kibiashara ndizo sababu kuu zinazodaiwa kupelekea vifo vya watu 15 kwenye moto...