• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 7:55 AM

Kamishna Wanderi asema kuondolewa kwao hakutaisaidia IEBC na Kenya kufikia mageuzi katika mfumo wa uchaguzi

NA CHARLES WASONGA KAMISHNA wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Francis Wanderi ndiye wa hivi punde kujiuzulu miongoni mwa...

Bunge kuhoji makamishna ‘waasi’ wa IEBC

NA PATRICK LANGAT MAKAMISHNA wanne waasi wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) wanatarajiwa kukutana na wabunge Alhamisi, baada ya...

Utaratibu wa kukagua kura wachukua muda

NA CECIL ODONGO KUCHELEWESHWA kutangazwa kwa matokeo ya urais kumezidi kuzua wasiwasi nchini huku Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC)...

IEBC: Maswali zaidi yachipuka kuhusu kampuni

JUMA NAMLOLA Na BRIAN WASUNA MWENYEKITI wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati aliendelea kujikoroga zaidi usiku wa...

Sabina Chege akwepa kikao na IEBC

Na WANDERI KAMAU MWAKILISHI wa Kike wa Kaunti ya Murang’a, Bi Sabina Chege, jana Jumanne alikosa kuhudhuria kikao ambapo alitarajiwa...

Shirika latilia shaka maandalizi ya IEBC

WACHIRA MWANGI na FARHIYA HUSSEIN SHIRIKA moja la wanaharakati nchini limeelezea wasiwasi wake kuhusu maandalizi duni miongoni mwa...

Chebukati atawaweza wanasiasa?

Na WANDERI KAMAU MWENYEKITI wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Bw Wafula Chebukati, anaendelea kuwakazia kamba wanasiasa, huku...

TAHARIRI: IEBC ihakikishe wanasiasa wanaoshiriki harambee wanaadhibiwa

KITENGO cha UHARIRI KUANZIA leo, ni marufuku kwa wanasiasa wanaopania kuwania nyadhifa mbalimbali kushiriki katika hafla za kuchangisha...

IEBC yaonya Raila, Ruto kuhusu kampeni

Na CHARLES WASONGA MWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Wafula Chebukati, amesema kampeni za mapema zinazoendeshwa na Naibu...

IEBC kufanya usajili tena Januari 2022

Na WALTER MENYA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) itaendesha awamu ya pili ya usajili wa wapigakura kwa wingi mnamo Januari 2022...

Chebukati sasa akataa ‘kupangwa’

Na WANDERI KAMAU HATUA ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuepuka lawama za mapendeleo katika uchaguzi mkuu ujao kwa kujiondoa...

WANDERI KAMAU: Wanasiasa wakome kudhalilisha IEBC hadharani, wanaweza kuzua ghasia

Na WANDERI KAMAU UCHAGUZI Mkuu wa 2022 unaponukia, macho yote sasa yanaelekezwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC). Kati ya...