Tag: iebc
- by T L
- December 8th, 2022
Kamishna Wanderi asema kuondolewa kwao hakutaisaidia IEBC na Kenya kufikia mageuzi katika mfumo wa uchaguzi
NA CHARLES WASONGA KAMISHNA wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Francis Wanderi ndiye wa hivi punde kujiuzulu miongoni mwa...
- by T L
- November 22nd, 2022
Bunge kuhoji makamishna ‘waasi’ wa IEBC
NA PATRICK LANGAT MAKAMISHNA wanne waasi wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) wanatarajiwa kukutana na wabunge Alhamisi, baada ya...
- by T L
- August 13th, 2022
Utaratibu wa kukagua kura wachukua muda
NA CECIL ODONGO KUCHELEWESHWA kutangazwa kwa matokeo ya urais kumezidi kuzua wasiwasi nchini huku Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC)...
- by T L
- July 27th, 2022
IEBC: Maswali zaidi yachipuka kuhusu kampuni
JUMA NAMLOLA Na BRIAN WASUNA MWENYEKITI wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati aliendelea kujikoroga zaidi usiku wa...
- by T L
- February 23rd, 2022
Sabina Chege akwepa kikao na IEBC
Na WANDERI KAMAU MWAKILISHI wa Kike wa Kaunti ya Murang’a, Bi Sabina Chege, jana Jumanne alikosa kuhudhuria kikao ambapo alitarajiwa...
- by T L
- January 28th, 2022
Shirika latilia shaka maandalizi ya IEBC
WACHIRA MWANGI na FARHIYA HUSSEIN SHIRIKA moja la wanaharakati nchini limeelezea wasiwasi wake kuhusu maandalizi duni miongoni mwa...
- by T L
- December 15th, 2021
Chebukati atawaweza wanasiasa?
Na WANDERI KAMAU MWENYEKITI wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Bw Wafula Chebukati, anaendelea kuwakazia kamba wanasiasa, huku...
- by T L
- December 9th, 2021
TAHARIRI: IEBC ihakikishe wanasiasa wanaoshiriki harambee wanaadhibiwa
KITENGO cha UHARIRI KUANZIA leo, ni marufuku kwa wanasiasa wanaopania kuwania nyadhifa mbalimbali kushiriki katika hafla za kuchangisha...
- by T L
- December 9th, 2021
IEBC yaonya Raila, Ruto kuhusu kampeni
Na CHARLES WASONGA MWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Wafula Chebukati, amesema kampeni za mapema zinazoendeshwa na Naibu...
- by T L
- December 4th, 2021
IEBC kufanya usajili tena Januari 2022
Na WALTER MENYA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) itaendesha awamu ya pili ya usajili wa wapigakura kwa wingi mnamo Januari 2022...
- by T L
- December 1st, 2021
Chebukati sasa akataa ‘kupangwa’
Na WANDERI KAMAU HATUA ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuepuka lawama za mapendeleo katika uchaguzi mkuu ujao kwa kujiondoa...
- by T L
- November 13th, 2021
WANDERI KAMAU: Wanasiasa wakome kudhalilisha IEBC hadharani, wanaweza kuzua ghasia
Na WANDERI KAMAU UCHAGUZI Mkuu wa 2022 unaponukia, macho yote sasa yanaelekezwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC). Kati ya...