• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 8:55 PM

JAMVI: ‘Baba’ anajua kwamba UhuRuto wanamkata miguu kule Nyanza?

Na LEONARD ONYANGO RAIS Uhuru Kenyatta na Naibu wa Rais William wameanza mchakato wa kutaka kumlemaza kisiasa kiongozi wa ODM Raila...

JAMVI: Mwaura alivyojikwaa na kujiponza kisiasa

Na WANDERI KAMAU HATUA ya Chama cha Jubilee (JP) kumtimua aliyekuwa Seneta Maalum, Bw Isaac Mwaura, kutoka chama hicho imezima nyota ya...

JAMVI: Mbio za Ngilu kutuliza zogo, uasi katika ODM

Na BENSON MATHEKA HATUA ya Gavana Charity Ngilu wa Kitui ya kukutanisha Kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga na washirika wake James...

JAMVI: Yaelekea huu ndio mwanzo mpya EAC

Na WANDERI KAMAU MSISIMKO mpya wa urafiki kati ya Kenya na Tanzania umeibua maswali kuhusu ikiwa mataifa hayo yamefungua ukurasa...

JAMVI: Ukimya uliogubika OKA ni ishara mbovu, Uhuru amewaacha mataani?

Na CHARLES WASONGA MASWALI yameibuka kufuatia ukimya wa vinara wa muungano wa One Kenya Alliance (OKA) miezi miwili baada ya wao...

JAMVI: Mvutano ODM wazidisha ubutu kwa makali ya Raila

Na LEONARD ONYANGO MVUTANO unaoendelea ndani ya ODM huenda ukamfanya kinara wa chama hicho Raila Odinga kukosa makali iwapo ataamua...

JAMVI: Bunge linavyotishia kuongeza masaibu ya mswada wa BBI

Na LEONARD ONYANGO MASAIBU yanayokumba Mswada wa Mpango wa Maridhiano (BBI) huenda yakaongezeka iwapo wabunge na maseneta wataafikiana...

JAMVI: IEBC yawaniwa kutekwa nyara kabla ya kura 2022

Na CHARLES WASONGA HAMU ya vigogo wa kisiasa ya kutaka kudhibiti Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) uchaguzi mkuu wa 2022...

JAMVI: Kibarua kwa Ruto Mlimani Tangatanga wakitunga masharti

Na WANDERI KAMAU NAIBU Rais William Ruto anakabiliwa na kibarua kipya kuendeleza ushawishi wake katika ukanda wa Mlima Kenya, baada ya...

JAMVI: Katika hizi ziara zake Oparanya ni ‘fuko’ au ni mjumbe wa Raila?

Na BENSON MATHEKA GAVANA wa Kakamega Wycliffe Oparanya ameacha Wakenya na maswali tele kutokana na misururu ya mikutano anayofanya na...

JAMVI: Utata wa BBI tishio kwa Handisheki

Na LEONARD ONYANGO UTATA ambao umegubika Mswada wa Mpango wa Maridhiano (BBI) umegawanya wandani ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa...

JAMVI: Karata za Uhuru zinavyohatarisha Mlima Kenya kuaminiwa kisiasa

Na WANDERI KAMAU KARATA za kisiasa za Rais Uhuru Kenyatta dhidi ya kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga, na muungano wa Okoa Kenya Alliance...