• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 2:16 PM

JAMVI: ODM imekoroga ngome yake kwa kumvua Malala wadhifa Seneti

Na BENSON MATHEKA HATUA ya chama cha ODM ya kumpokonya Seneta wa Kakamega Cleophas Malala wadhifa wa naibu kiongozi wa wachache katika...

JAMVI: Suluhu atarudisha urafiki na majirani?

Na WANDERI KAMAU BAADA ya kuchukua uongozi mpya wa Tanzania kufuatia kifo cha Rais John Pombe Magufuli, kibarua kikubwa kinachomkabili...

JAMVI: Raila anawazia nini iwapo atasalitiwa na Rais Kenyatta?

Na LEONARD ONYANGO HATUA ya Katibu wa Wizara ya Usalama Karanja Kibicho kupuuzilia mbali wito wa ODM kumtaka kujiondoa kutoka kwenye...

JAMVI: Gumzo la ugombea-wenza Mlima Kenya lilivyo kiazi moto kwa vigogo

Na WANDERI KAMAU MIUNGANO mikuu ya kisiasa inayoendelea kuchipuka nchini, iko kwenye njiapanda kuhusu wanasiasa itakaowateua kama...

JAMVI: Changamoto tele kwa Kenyatta akijaribu kuzima ndoto ya Ruto

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta amejipata katika njia panda katika juhudi zake za kujenga muungano mkubwa wa kisiasa utakaozima...

JAMVI: Raila anajitia hatarini kuhepwa ifikapo 2022

Na WANDERI KAMAU KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga, yuko kwenye hatari ya kuachwa mpweke kisiasa ifikapo 2022, kutokana na tofauti ambazo...

JAMVI: Athari ya Uhuru kusema ‘fulani’ tosha

Na BENSON MATHEKA UAMUZI ambao Rais Uhuru Kenyatta atafanya kuhusu mrithi wake unaweza kusababisha mgawanyiko na misukosuko katika nchi...

JAMVI: Mtihani wa kuuza Muturi kama mrithi wa Uhuru Mlimani

Na WANDERI KAMAU HATUA ya kutawazwa kwa Spika Justin Muturi wa Bunge la Kitaifa kuwa msemaji rasmi wa ukanda wa Mlima Kenya, Jumamosi...

JAMVI: Ruto, Raila wanavyojinadi kutumia miradi ya wandani

Na LEONARD ONYANGO NAIBU Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM Raila Odinga sasa wanatumia mbinu mpya kujipendekeza kwa wapigakura huku...

BENSON MATHEKA: Kiini cha Raila kuhofia vyama vya Pwani na Magharibi kuungana

Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga anahofia kwamba kuibuka kwa miungano ya vyama vya kisiasa eneo la Pwani na...

JAMVI: Hofu jahazi la Ruto limeanza kupasua nyufa Mlima Kenya

Na WANDERI KAMAU MASWALI yameibuka kuhusu mustakabali wa “urafiki” kati ya Naibu Rais William Ruto na washirika wake katika ukanda...

JAMVI: BBI yaacha Tangatanga Mlima Mkenya kwenye njiapanda 2022 ikinukia

Na WANDERI KAMAU HATUA ya mabunge ya kaunti katika ukanda wa Mlima Kenya kuupitisha mswada wa ripoti ya Mpango wa Maridhiano(BBI) wiki...