Tag: kauli ya walibora
- by adminleo
- April 15th, 2020
Uhuru na Ruto waungana na wapenzi wa Kiswahili kumwomboleza Prof Walibora
Na HASSAN WEKESA RAIS Uhuru Kenyatta na naibu wake Dkt William Ruto wameungana na wapenzi wa Kiswahili kutuma salamu za pole kwa familia...
- by adminleo
- April 15th, 2020
TANZIA: Mwanafasihi mtajika Prof Ken Walibora afariki
NA FAUSTINE NGILA HUZUNI imetanda miongoni mwa wapenzi wa lugha ya Kiswahili na fasihi kwa jumla baada ya mwandishi maarufu Prof Ken...
- by adminleo
- March 25th, 2020
KINA CHA FIKIRA: Enyi watafiti, mada za kuzamia zi tele tusibane mawazo
Na KEN WALIBORA JUMA lililopita nilifanya makosa makubwa katika safu hii ya Kauli ya Walibora. Niliuita uwanja wa kimataifa wa ndege...
- by adminleo
- February 25th, 2020
KAULI YA WALIBORA: Tusiogope kuzungumza Kiswahili kwa kuchelea kutoeleweka na wageni
NA PROF KEN WALIBORA UBALOZI wa Tanzania nchini Ufaransa uliandaa kongomano kukipigia upatu Kiswahili majuzi yale. Hafla hiyo ilihusisha...
- by adminleo
- November 24th, 2019
WALIBORA: Uvumbuzi wa Kiafrika kwa matatizo yao ni hatua kubwa
Na KEN WALIBORA Kudidimia kwa utashi wa bidhaa za Afrika nchini Marekani, Ulaya na kwingineko kumechochea ari ya nchi za Kiafrika...
- by adminleo
- November 13th, 2019
KINA CHA FIKIRA: Chipukizi wenye raghba ya kuandika wajihimu kuyajua mengi kuhusu fani ya uandishi
Na KEN WALIBORA BAADA ya kutoka kituo cha habari cha Nation Centre katika barabara ya Kimathi jijini Nairobi miaka miwili iliyopita,...
- by adminleo
- October 23rd, 2019
KINA CHA FIKIRA: Uhasama na mihemko ya kitaifa na kizalendo inavyotishia mustakabali wa lugha ya Kiswahili
Na KEN WALIBORA NOAH Webster alibaini kwamba si tu Kiingereza cha Marekani kilikuwa tofauti na cha Uingereza kwa msamiati, tahajia na...
- by adminleo
- October 2nd, 2019
KINA CHA FIKIRA: Tafsiri za kizuzu adui mkubwa wa lugha ya Kiswahili
Na KEN WALIBORA WAKENYA ni wabunifu sana. Hunishangaza kwa ubunifu wao uliopitiliza. Hivi punde tu nimemsikia mama mmoja akiniambia,...
- by adminleo
- September 25th, 2019
KINA CHA FIKIRA: Hadhari mno ahadi za serikali kuhusu Baraza la Kiswahili
Na KEN WALIBORA WATU wenye matumaini wanapenda kutumaini pawepo au pasiwepo msingi wa kutumaini. Hawataki kuitwa wendaguu, yaani watu...
- by adminleo
- September 4th, 2019
KINA CHA FIKIRA: Kinaya cha waandishi wa Kenya na Tanzania kuongoza katika kukivyoga Kiswahili
Na KEN WALIBORA MNAMO Mei 21, 2019, nilimwandikia mkubwa mmoja wa kituo cha runinga ujumbe huu: “Watu wako wanaandika kero la. Je ni...
- by adminleo
- July 24th, 2019
KINA CHA FIKIRA: ‘Mzungumzishi’ halina mashiko kurejelea spika
Na KEN WALIBORA NILIKUTANA na vitabu vya mwandishi Zacharia Zani enzi ya masomo yangu ya sekondari. Mfululizo wa vitabu vyake ulitawala...
- by adminleo
- July 17th, 2019
KINA CHA FIKIRA: Viongozi wa Afrika Mashariki ni wasaliti wa Kiswahili barani
Na KEN WALIBORA MUUNGANO wa Afrika umepanga mikakati kabambe ya kukipa Kiswahili kipaumbele kama lugha ya mawasiliano mapana barani....