Tag: kingi
Maafisa wa DCI wakita kambi Kilifi kupeleleza serikali ya Kingi
Na MAUREEN ONGALA MAAFISA mbalimbali katika serikali ya Kaunti ya Kilifi wameingiwa na uoga baada ya maafisa wa idara ya Upelelezi wa...
Kingi alia kuachwa mpweke kutetea wakazi wa Pwani
Na CHARLES LWANGA GAVANA wa Kilifi, Bw Amason Kingi amelalamikia jinsi viongozi wenzake ukanda wa Pwani walivyomwacha mpweke kutetea...
Joho, Kingi mbioni kufufua jumuiya ya Pwani
Na LUCY MKANYIKA MKUTANO wa faragha wa magavana wanne wa Pwani mnamo Jumatano unaonekana kuwa mojawapo ya mbinu za kuwapa uhai wa...
Kingi aungama mambo si shwari kwa ODM Pwani
Na MOHAMED AHMED KAUNTI ya Kilifi ambayo kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2017 ilichagua viongozi wote kwa chama cha ODM, imeanza kuyumba na...
BBI si ya kutafutia ‘viongozi fulani’ vyeo serikalini – Kingi
Na MAUREEN ONGALA GAVANA Amason Kingi wa Kilifi, amewalaumu viongozi ambao wanaeneza uvumi kwamba mapendekezo yaliyo katika ripoti ya...
Wakiukaji kanuni za Covid kuosha vyoo vya umma
CHARLES LWANGA na MUREEN ONGALA SERIKALI ya Kaunti ya Kilifi ikishirikiana na kamati ya usalama, imependekeza kuwa watu watakaopatikana...
Kingi aahidi kuadhibu waliomumunya mamilioni ya corona
Na ALEX AMANI GAVANA wa Kaunti ya Kilifi, Bw Amason Kingi, amesema serikali yake itashirikiana kikamilifu na asasi za kuchunguza ufisadi...
- by adminleo
- August 4th, 2020
Toka ODM tuunde chama chetu, Jumwa amsihi Kingi
CHARLES LWANGA na FARHIYA HUSSEIN MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa amemtaka Gavana wa Kilifi Amason Kingi aunge wito wa wabunge wa...
- by adminleo
- February 2nd, 2020
Wakazi walilia Gavana Kingi awape maji
Na CHARLES LWANGA WAKAZI wa Malindi na Watamu, Kaunti ya Kilifi wamelalamikia uhaba wa maji unaokumba kaunti hiyo ya kitalii na kumtaka...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
Kingi awatetea MRC kuhusu haki za ardhi
Na CHARLES LWANGA GAVANA wa Kilifi, Bw Amason Kingi ametetea itikadi za kundi la Mombasa Repulican Council (MRC) akisema kuwa shinikizo...
- by adminleo
- May 26th, 2019
Unaaibisha Pwani, Kingi amwambia Jumwa
Na PETER MBURU GAVANA wa Kilifi Amason Kingi sasa amemwambia mbunge wa Malindi Aisha Jumwa wazi kuwa anawaaibisha viongozi wa eneo...
- by adminleo
- March 25th, 2019
Joho na Kingi watofautiana kuhusu rais kutoka Pwani
Na MOHAMED AHMED GAVANA wa Mombasa Hassan Joho na mwenzake wa Kilifi wametofautiana kuhusiana na mpango wa kuwa na mwaniaji wa urais...