Tag: mabasi
- by T L
- October 22nd, 2021
Mabasi yarejelea safari zao za usiku, serikali ikijikokota kutoa mwongozo
WANDERI KAMAU na KIPKOECH CHEPKWONY WAKENYA bado wamechanganyikiwa kuhusu ikiwa wanapaswa kurejelea biashara zao huku kampuni za mabasi...
- by adminleo
- February 20th, 2020
Agizo mabasi yanayohudumu Kaskazini Mashariki yasindikizwe na polisi
JACOB WALTER na MERCY MWENDE SERIKALI imetoa agizo kwamba mabasi ya uchukuzi wa umma yanayohudumu maeneo ya Kaskazini Mashariki mwa nchi...
- by adminleo
- April 10th, 2018
ONYANGO: Isiwe mabasi ya NYS ni ya kunufaisha watu fulani
Na LEONARD ONYANGO HATUA ya Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS) kujitosa katika sekta ya usafiri wa umma jijini Nairobi imezua...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
Shule zisizopaka mabasi yao rangi ya manjano kuona cha moto
Na RICHARD MUNGUTI SERIKALI itayatwaa mabasi yote ambayo hayatakuwa yamepakwa rangi ya manjano kuanzia Jumanne. Waziri msaidizi wa Elimu...
- by adminleo
- March 26th, 2018
Shule mbioni kupaka mabasi rangi ya manjano muda ukiyoyoma
KALUME KAZUNGU na WANDERI KAMAU Kwa ufupi: Dkt Fred Matiang’i alitoa agizo kwamba lazima mabasi ya shule zote za msingi na upili...
- by adminleo
- March 7th, 2018
Polo aachilia mkojo ndani ya basi safarini
Na TOBBIE WEKESA TULIENGE, BUNGOMA ABIRIA waliokuwa wakisafiria basi moja walipigwa na mshangao baada ya polo kuachilia mkojo ndani...
- by adminleo
- March 2nd, 2018
Madereva Lamu wapinga ada ya vizuizi kuongezwa
NA KALUME KAZUNGU MADEREVA na utingo wa mabasi ya usafiri wa umma yanayotumia barabara ya Lamu kuekelea Mombasa wameilalamikia serikali ya...