Tag: mafuta
Bei ya mafuta haitabadilika – Serikali
Na CHARLES WASONGA SERIKALI kupitia kwa Tume ya Kusimamia Bei ya Kawi na Petroli (EPRA) Jumatano ilitangaza kuwa bei ya mafuta...
Uganda kuanza kuuza mafuta 2025
Na DAILY MONITOR Afisa Mkuu Mtendaji wa kampuni ya mafuta ya Total, Patrick Pouyanne alisema makubaliano matatu ya kuendesha ujenzi wa...
WANDERI KAMAU: Tujuzwe sababu za bei ya mafuta kupanda kila siku
Na WANDERI KAMAU MOJAWAPO ya masuala ambayo huibua ghadhabu miongoni mwa wananchi ni pale serikali inawatwika mizigo ya kimaisha bila...
MAFUTA: Wakenya wakimbilia Tanzania
IAN BYRON NA HILLARY KIMUYU MAMIA ya Wakenya wanavuka mpaka hadi nchi jirani za Tanzania na Uganda kununua mafuta kwa bei nafuu.Hii ni...
Mafuta ghali: Wakenya wakerwa na wabunge kujifanya wanawahurumia
Na BENSON MATHEKA WAKENYA wamekasirishwa na hatua ya wabunge kujifanya wanawahurumia kwa hali ngumu ya maisha inayowakabili kufuatia...
CHARLES WASONGA: Wabunge wanaodaiwa kupokea hela za mafuta wachunguzwe
Na CHARLES WASONGA WAKATI huu ambapo Wakenya wanakabiliwa na hali ngumu ya maisha, inavunja moyo kusikia kuwa wabunge wanatumia nafasi...
Bei ya mafuta kupandisha gharama ya maisha
Na BENSON MATHEKA GHARAMA ya maisha nchini inatarajiwa kupanda kwa kiwango kukubwa baada ya Mamlaka ya Kudhibiti Kawi na Petroli (EPRA)...
EPRA: Atwoli aitaka wizara husika ajitokeze kumtetea raia wa kipato cha chini
Na CHARLES WASONGA KATIBU Mkuu wa Muungano wa Wafanyakazi Nchini (COTU) Francis Atwoli ameitaka wizara husika iingilie kati ongezeko la...
Wakenya kuumia zaidi bei ya mafuta kipanda tena
Na HILLARY KIMUYU WAMILIKI wa magari ya uchukuzi wa umma na ya kibinafsi watagharimika zaidi baada ya Mamlaka ya Kudhibiti Bei ya Kawi...
- by adminleo
- July 14th, 2020
Bei ya mafuta yapanda tena
Na CHARLES WASONGA WAKENYA watagharimika zaidi ndani ya kipindi cha siku 30 zijazo baada ya bei ya mafuta kupanda kufuatia tangazo...
- by adminleo
- June 14th, 2020
Mafuta ya kupikia yaliyoharibika 2018 yanaswa Mombasa
MOHAMED AHMED Maafisa wa kitengo cha Upelelezi wa Jinai [DCI] walinasa lita 25,300 za mafuta ya kupikia ambayo siku zake za kutumiwa...
- by adminleo
- May 14th, 2020
Afueni adimu kufuatia mafuta kushuka bei
Na LEONARD ONYANGO WAKENYA wanatarajia sasa kupata afueni baada ya Mamlaka ya Kawi na Petroli (EPRA) kupunguza bei ya mafuta kwa kiwango...