Tag: MALINDI
- by T L
- November 17th, 2021
Utafunaji miraa unaharibu hali ya usafi – Jaji
Na MAUREEN ONGALA JAJI wa Mahakama ya Malindi, Bw Stephene Githinji, amelaumu uraibu wa utafunaji miraa na muguka kwa uchafuzi wa...
Jumwa adai serikali ya Kingi haijali wakazi
ALEX KALAMA na VALENTINE OBARA MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, ameisuta Serikali ya Kaunti ya Kilifi akidai kuwa haitilii maanani...
Historia ya Malindi kama mji wa kifahari Uswahilini
Na Hawa Ali MALINDI ni mji wa Kenya kwenye pwani ya Bahari Hindi. Mji huu u kilomita 100 Kaskazini ya mji wa Mombasa kwenye karibu na...
ODM na PAA wazozania umiliki wa afisi mjini Malindi
Na MAUREEN ONGALA MVUTANO umeibuka kuhusu umiliki afisi moja mjini Malindi kati ya chama cha ODM na chama kipya cha Pamoja African...
Waliofungwa jela maisha kwa kuficha gaidi wa al-Qaeda waachiliwa huru
Na PHILIP MUYANGA MWANAMUME na mwanawe ambao walihukumiwa kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia ya kumpa makao gaidi wa kundi...
MAKALA MAALUM: Bidii ya bodaboda kujikwamua kutoka kwa lindi la umaskini
Na MAUREEN ONGALA CHANGAMOTO za ukosefu wa ajira ambayo imechangia umaskini miongoni mwa vijana si sababu kuu ambayo ilisababisha vijana...
- by adminleo
- June 4th, 2020
MAHANGAIKO: Baadhi ya wakazi wa Mayungu wategemea dampo kupata chakula
Na FARHIYA HUSSEIN TUNAKARIBISHWA na taka zilizooza na kuozeana na kutapaka kila mahali huku zikitoa uvundo eneo la Mayungu, Malindi,...
- by adminleo
- October 9th, 2018
VASCO DA GAMA: Kitega uchumi cha Malindi kilicho hatarini kuangamizwa na wavuvi
NA RICHARD MAOSI NI adhuhuri na niko hapa mjini Malindi na leo nimeamua kuzuru maeneo ya ufuo wa Bahari Hindi. Natembea kwa mguu...
- by adminleo
- March 26th, 2018
Mashoga 6,000 hatarini kuambukizwa HIV kuliko makahaba
Na CHARLES LWANGA KARIBU watu 6,000 wanofanya ushoga mjini Malindi wako katika hatari ya kuambukizwa na virusi vya Ukimwi kutokana na...