Tag: Manchester United
- by T L
- February 21st, 2022
Man-United wakomoa Leeds United baada ya kuponea ugani Elland Road
Na CHRIS ADUNGO MANCHESTER United walihimili makali ya Leeds United na kuondoka ugani Elland Road na alama tatu kutokana na ushindi wa...
- by T L
- December 13th, 2021
Droo ya Klabu Bingwa Ulaya hatua ya 16-bora kufanywa upya muda mchache ujao baada ya kutokea kwa hitilafu za kiteknolojia leo mchana
Na MASHIRIKA DROO ya Klabu Bingwa Ulaya hatua ya 16-bora kufanywa upya muda mchache ujao baada ya kutokea kwa hitilafu za kiteknolojia leo...
- by T L
- November 29th, 2021
Man-United na Chelsea zatoka sare uwanjani Stamford Bridge
Na MASHIRIKA MANCHESTER United walijiandaa kwa ujio wa kocha mshikilizi Ralf Rangnick kwa kuwalazimishia Chelsea sare ya 1-1 katika gozi...
Aston Villa wapiga Man-United breki kali ligini
Na MASHIRIKA MABINGWA mara 20 wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Manchester United walipigwa breki kali hapo jana na Aston Villa...
Man-United wakabwa koo na Southampton ligini
Na MASHIRIKA MAKALI yaliyoshuhudia Manchester United wakipepeta Leeds United 5-1 katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL)...
Vigogo Man-U, Chelsea na Liverpool mawindoni leo
Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza MIAMBA wa Manchester United, Chelsea na Liverpool watalenga kuanza msimu mpya wa Ligi Kuu ya...
Mashabiki watibua mechi ya EPL kati ya Man-United na Liverpool ugani Old Trafford
Na MASHIRIKA MCHUANO wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) uliokuwa uwakutanishe Manchester United na Liverpool uwanjani Old Trafford mnamo...
Man-Utd wapewa AC Milan, Arsenal kuvaana na Olympiakos huku Spurs wakionana na Zagreb kwenye hatua ya16-bora Europa League
Na MASHIRIKA MANCHESTER United watavaana na mabingwa mara saba wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), AC Milan, kwenye hatua ya 16-bora ya Europa...
Solskjaer amfuatilia Erling Braut Haaland kwa nia ya kumshawishi ajiunge na Manchester United
Na MASHIRIKA KOCHA Ole Gunnar Solskjaer wa Manchester United amesema kwamba anamfuatilia fowadi chipukizi wa Borussia...
COVID-19: Mechi za Europa League kati ya Real Sociedad na Man-United na nyingine kati ya Benfica na Arsenal sasa kuchezewa nchini Italia
Na MASHIRIKA MECHI ya mkondo wa kwanza ya Europa League kati ya Real Sociedad na Manchester United wiki ijayo sasa itachezewa jijini...
Manchester United waponda Leeds United na kupaa hadi tatu-bora EPL
Na MASHIRIKA SCOTT McTominay aliweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga mabao mawili chini ya dakika tatu za ufunguzi wa mechi ya...
Manchester United kuvaana na Real Sociedad nao Arsenal kuonana na Benfica katika hatua ya 32-bora ya Europa League
Na MASHIRIKA BAADA ya kushuka ngazi hadi Europa League kufuatia kubanduliwa kwao kwenye Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu, Manchester...