• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 8:55 PM

WASONGA: Serikali itatue changamoto zinazokumba mtaala mpya

Na CHARLES WASONGA SERIKALI inafaa kushughulikia changamoto zinazozonga utakelezaji wa Mtaala mpya wa Umilisi na Utendaji (CBC) ambao...

MATHEKA: Viongozi wasitumie ukame kujikweza kisiasa raia wakiumia

Na BENSON MATHEKA IDARA ya utabiri wa hali ya hewa imetangaza kuwa mvua inayotarajiwa nchini kuanzia Oktoba haitakuwa ya kutosha. Hii...

KAMAU: Vyombo vya habari vyafaa viwajibike 2022 ikikaribia

Na WANDERI KAMAU MOJA ya sababu kuu ambazo zilisababisha mauaji ya kimbari nchini Rwanda mnamo 1994 ilikuwa ni mchango uliotolewa na...

KINYUA BIN KING’ORI: Ruto afikirie upya kuhusu kubuni miungano, hafai kuipuuza

Na KINYUA BIN KING'ORI MALUMBANO na mgawanyiko ambao umeanza kujitokeza katika mrengo unaomuunga mkono Naibu Rais, Dkt William Ruto...

ONYANGO: Makamishna wa IEBC wasisimamie zaidi ya uchaguzi mmoja

Na LEONARD ONYANGO SHERIA inafaa kufanyiwa marekebisho kuhakikisha kuwa makamishna wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC)...

WANGARI: Uhifadhi wanyamapori ni turathi kuu kwa vizazi vijavyo

Na MARY WANGARI SHIRIKA la Huduma kwa Wanyamapori Nchini (KWS) mapema wiki jana lilitoa ripoti kuhusu idadi ya wanyamapori nchini baada...

ODONGO: Kitui, Kibwana, Muturi na Karua wana mtihani

Na CECIL ODONGO MUUNGANO wa kisiasa kati ya Gavana wa Makueni Profesa Kivutha Kibwana, Kiongozi wa Narc Kenya Martha Karua, Spika wa...

WARUI: Serikali iharakishe utoaji chanjo kuokoa sekta ya elimu

Na WANTO WARUI INGAWA kurejea kwa masomo katika shule na vyuo vya elimu kulileta matumaini ya kuendeleza elimu baada ya kufungwa kwa...

WASONGA: Raia wasibebeshwe mzigo wa kulinda mali ya wakuu

Na CHARLES WASONGA UFICHUZI wa juzi kwamba hata mali ya kibinafsi ya Naibu Rais William Ruto inalindwa na maafisa wa usalama wa serikali...

MUTUA: Afrika yafaa ijitengenezee chanjo, iache kulalamika

Na DOUGLAS MUTUA ALIWAHI kusema wakati mmoja Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kwamba hawaonei imani Waafrika wanaombukizwa ugonjwa wa...

KINYUA BIN KING’ORI: Hongera Uhuru na Raila kukubali uamuzi wa mahakama

Na KINYUA BIN KING'ORI INATIA moyo kuona Wakenya wengi wakiwemo viongozi wa kisiasa wakiwemo Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM...

NGILA: Serikali isianzishe mradi mpya, ikamilishe Konza

Na FAUSTINE NGILA HIVI, una habari kuwa serikali ina mpango wa kujenga jiji lingine la kiteknolojia katika eneo la Athi River licha ya...