• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 9:40 PM

Kiini cha kufifia kwa nguvu za kufanya mapenzi

Na LEONARD ONYANGO WENGI wa wanaume walio na tatizo la nguvu za kiume hupendelea kusalia kimya kwani huona aibu kulizungumzia au kwenda...

Mapenzi au utumwa?

NA BENSON MATHEKA Kwa miaka saba, Jane amekuwa akimkwamilia Patrick akidai kwamba anampenda ingawa mwanamume huyo hawajibiki...

CHOCHEO: Ni sawa kumwambia mpenzi wako siri zote?

NA BENSON MATHEKA Selina hakuweza kuficha hasira zake alipogundua kuwa Jimmy hakumweleza ukweli kuhusu maisha yake ya mapenzi kabla ya...

‘Mke wangu mtamu ila tamaa itaniua…’

NA PAULINE ONGAJI Wanaume wengi siku hizi watakuambia kwamba japo wanawake ni wengi, kumpata mke ni sawa na kutafuta maziwa ya kuku....

Lo! si mabinti pekee ‘wachimba migodi’, madume pia hatari sana

NA MWANDISHI WETU Tangu jadi jamii imefinyanga mawazo yetu kudhania kwamba mabinti pekee ndio walio na tabia ya kufaidika kutokana na...

Mimi si mdogo jinsi ninavyoonekana, mshtakiwa aambia jaji

Na RICHARD MUNGUTI MWANAMUME mwenye umri wa miaka 18 ameshtakiwa kwa mauaji. Inadaiwa kwamba Muli Mukonzi alimuua James Mutua Mutuku...

‘Meme Lord’ asimulia alivyojinasia penzi mitandaoni

NA STEVE MOKAYA Shem Obare, almaarufu ‘Fantacy the Meme Lord’, ni mwanafunzi wa mwaka wa nne katika Chuo Kikuu cha Dedan Kimathi,...

FATAKI: Mapenzi ya kweli si tu kutembea mmeshikana mikono

Na PAULINE ONGAJI [email protected] SIKU kadhaa zilizopita nilisoma maoni fulani ya kuchekesha mtandaoni. Maoni hayo...

MAPENZI MITANDAONI: Wengi wanasaka uroda, wengine ni mashoga ila kuna wenye nia njema

NA WEMA KAIMENYI  Je, unaweza kumwamini mpenzi unayempata mtandaoni? Je, unaziamini picha za watu uwapatao mtandaoni? Mapenzi ya...

VALENTINO DEI: Wakenya wanatumia hela nyingi zaidi duniani kufurahisha wapenzi

FAUSTINE NGILA NA CECIL ODONGO WAKENYA wanaongoza kote duniani kwa kutumia kiasi kikubwa zaidi cha fedha kujionyesha jinsi walivyokolea...

Kipusa atwanga polo aliyemhepa

Na TOBBIE WEKESA SANTONS, KASARANI JOMBI aliyeishi katika mtaa huu alitamani ardhi ipasuke na kummeza mzimamzima, alipovamiwa na...

Mwanamume auguza majeraha baada ya ‘mkewe’ kumdunga kisu kisa mapenzi

Na MISHI GONGO MWANAMUME katika mtaa wa mabanda wa Moroto Tudor mjini Mombasa anauguza majeraha ya kisu aliyosababishiwa na mkewe wiki...