Tag: mapenzi
Kiini cha kufifia kwa nguvu za kufanya mapenzi
Na LEONARD ONYANGO WENGI wa wanaume walio na tatizo la nguvu za kiume hupendelea kusalia kimya kwani huona aibu kulizungumzia au kwenda...
Mapenzi au utumwa?
NA BENSON MATHEKA Kwa miaka saba, Jane amekuwa akimkwamilia Patrick akidai kwamba anampenda ingawa mwanamume huyo hawajibiki...
- by adminleo
- July 25th, 2020
CHOCHEO: Ni sawa kumwambia mpenzi wako siri zote?
NA BENSON MATHEKA Selina hakuweza kuficha hasira zake alipogundua kuwa Jimmy hakumweleza ukweli kuhusu maisha yake ya mapenzi kabla ya...
- by adminleo
- July 25th, 2020
‘Mke wangu mtamu ila tamaa itaniua…’
NA PAULINE ONGAJI Wanaume wengi siku hizi watakuambia kwamba japo wanawake ni wengi, kumpata mke ni sawa na kutafuta maziwa ya kuku....
- by adminleo
- July 25th, 2020
Lo! si mabinti pekee ‘wachimba migodi’, madume pia hatari sana
NA MWANDISHI WETU Tangu jadi jamii imefinyanga mawazo yetu kudhania kwamba mabinti pekee ndio walio na tabia ya kufaidika kutokana na...
- by adminleo
- May 12th, 2020
Mimi si mdogo jinsi ninavyoonekana, mshtakiwa aambia jaji
Na RICHARD MUNGUTI MWANAMUME mwenye umri wa miaka 18 ameshtakiwa kwa mauaji. Inadaiwa kwamba Muli Mukonzi alimuua James Mutua Mutuku...
- by adminleo
- April 30th, 2020
‘Meme Lord’ asimulia alivyojinasia penzi mitandaoni
NA STEVE MOKAYA Shem Obare, almaarufu ‘Fantacy the Meme Lord’, ni mwanafunzi wa mwaka wa nne katika Chuo Kikuu cha Dedan Kimathi,...
- by adminleo
- March 28th, 2020
FATAKI: Mapenzi ya kweli si tu kutembea mmeshikana mikono
Na PAULINE ONGAJI [email protected] SIKU kadhaa zilizopita nilisoma maoni fulani ya kuchekesha mtandaoni. Maoni hayo...
- by adminleo
- March 12th, 2020
MAPENZI MITANDAONI: Wengi wanasaka uroda, wengine ni mashoga ila kuna wenye nia njema
NA WEMA KAIMENYI Je, unaweza kumwamini mpenzi unayempata mtandaoni? Je, unaziamini picha za watu uwapatao mtandaoni? Mapenzi ya...
- by adminleo
- February 13th, 2020
VALENTINO DEI: Wakenya wanatumia hela nyingi zaidi duniani kufurahisha wapenzi
FAUSTINE NGILA NA CECIL ODONGO WAKENYA wanaongoza kote duniani kwa kutumia kiasi kikubwa zaidi cha fedha kujionyesha jinsi walivyokolea...
- by adminleo
- December 15th, 2019
Kipusa atwanga polo aliyemhepa
Na TOBBIE WEKESA SANTONS, KASARANI JOMBI aliyeishi katika mtaa huu alitamani ardhi ipasuke na kummeza mzimamzima, alipovamiwa na...
- by adminleo
- November 27th, 2019
Mwanamume auguza majeraha baada ya ‘mkewe’ kumdunga kisu kisa mapenzi
Na MISHI GONGO MWANAMUME katika mtaa wa mabanda wa Moroto Tudor mjini Mombasa anauguza majeraha ya kisu aliyosababishiwa na mkewe wiki...