• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 8:55 PM

SHANGAZI: Mke wa mpenzi wangu ananitishia maisha, nifanyeje?

NA SHANGAZI SIZARINA Hujambo Shangazi? Nina umri wa miaka 20 na nina uhusiano na mwanamume ambaye alikuwa ameoa lakini akatengana na mke...

UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Aibu ya mapenzi

Na PHYLLIS MWACHILUMO MAPENZI ni matamu kweli, yana nguvu ya kuivunja milima na kuyeyusha roho ngumu zilizozidi chuma. Pia husemekana...

Wapenzi wajiua waache kuchafua dunia kwa kupumua CO2

MASHIRIKA Na PETER MBURU WANANDOA kutoka California walijitoa uhai wiki hii kama mbinu ya kuokoa dunia kutokana na ongezeko la joto na...

SHANGAZI AKUJIBU: Ameniacha sababu simudu mahitaji yake mengi

Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Pongezi kwa kazi nzuri unayofanya katika ukumbi huu. Nimekuja kwako kuomba ushauri wako. Mwanamke mpenzi...

MWANAMUME KAMILI: Wajibikeni kukomesha hizi tabia za kipuzi za binti zenu!

NA CHARLES OBENE Kuna haja kuu kutambua mahali pa wazee wa hekima katika maisha ya vijana wa leo. Vijana wa leo wanahitaji mwongozo...

Ndugu wawili ndani kwa kuua mpenzi wa mama yao

PIUS MAUNDU na GEORGE ODIWUOR MAAFISA wa upelelezi jana waliwahoji ndugu wawili wanaodaiwa kumuua mpenzi wa mama yao katika kijiji cha...

Kipusa taabani kwa kutajataja ‘ex’ wake

Na TOBBIE WEKESA MATAYOS, BUSIA Jamaa mmoja wa hapa alimuonya vikali mpenzi wake kwa kumlinganisha na mchumba wake wa zamani....

Daktari amnyonga mpenzi kitandani hadi kufa kisha kupika mwili wake

MASHIRIKA Na PETER MBURU DAKTARI kutoka Urusi amekiri kuwa alimuua, akamharibu sura kisha kupika baadhi ya sehemu za mwili wa mwanamke...

Washtakiwa kujifanya ‘wamekwama’ kimapenzi

NA CHARLES WANYORO WATU watatu Jumatatu walifikishwa katika mahakama moja ya Meru kwa kujifanya kuwa wawili wao walikuwa ‘wamekwama’...

WIVU: Mama amuua binti aliyependwa zaidi na mumewe

MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMKE kutoka Ukraine amedaiwa kumuua bintiye wa wiki tatu kwa kumkata shingo, baada ya kuingiwa na wivu kuwa...

Ajuza, 72, ‘aingia boksi’ ya babu baada ya kumkataa kwa miaka 43

MASHIRIKA Na PETER MBURU HATIMAYE mwanamke wa miaka 72 alikubali posa ya mwanamume wa miaka 74, baada ya kuishi kuikataa kwa takriban...

Afichulia pasta jembe la mumewe halimfikishi Canaan

Na DENNIS SINYO MOI’S BRIDGE, TRANS NZOIA  Kalameni wa eneo hili, alimkemea mkewe vikali akidai alikuwa akimtangaza kanisani...