Tag: mavazi
- by T L
- October 28th, 2021
Agizo watumishi wakumbatie mavazi ya Kiafrika
Na BENSON MATHEKA WAFANYAKAZI wote wa umma sasa wanahitajika kuvalia mavazi ya Kiafrika na yaliyoshonewa humu nchini kila Ijumaa...
AKILIMALI: Anafuma mavazi maridadi kutumia nyuzi za krocheti
Na GRACE KARANJA KWA mujibu wa takwimu za Baraza la Kimataifa la Biashara Ndogondogo Duniani (ICSB), biashara hizo ni asilimia 90 ya...
- by adminleo
- May 14th, 2020
RIZIKI: Ushonaji majaketi na makoti ya kupendeza wamvunia hela
Na MAGDALENE WANJA PETER Okatch ni mshonaji nguo ambaye ujuzi wake umemwezesha kushona majaketi na makoti yenye ubora wa hali ya...
- by adminleo
- December 24th, 2019
AKILIMALI: Arejea nchini kutoka China kufunza vijana jinsi ya kushona mavazi na mapambo
NA RICHARD MAOSI [email protected] Maonyesho ya mapambo na nguo za kiasili ni kazi za mikono ,zinazohitaji ubunifu wa aina...
- by adminleo
- December 12th, 2019
Kanisa Katoliki lapiga marufuku nguo za kubana mwili kanisani
NA SAMMY KIMATU KANISA Katoliki lililo jijini Nairobi limeshangaza wengi kwa kuchapisha na kutundika bango langoni kuhusu mavazi ambayo...
- by adminleo
- October 25th, 2019
MBURU: Naam, mavazi ya kitaifa yataboresha ubunifu, utaifa
Na PETER MBURU AGIZO la serikali kwa watumishi wa umma kuwa wawe wakivalia mavazi yaliyoshonewa nchini kila Ijumaa na sikukuu za kitaifa...
- by adminleo
- October 21st, 2019
Mavazi ya Uhuru, Raila yaibua gumzo
Na WAANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga waliibua mjadala Jumapili walipowasili wakiwa wamevaa mavazi...