Tag: mchepuko
- by adminleo
- February 16th, 2020
Chifu anayekabili uasherati, HIV kwa kutandika wazinifu mijeledi
Na BERNARD OJWANG KAUNTI ya Homa Bay imegonga vichwa vya habari mara nyingi kwa sababu zisizo njema kama vile kukithiri kwa maambuizi ya...
- by adminleo
- January 13th, 2020
Mke mhanyaji ataka wahame usiku
Na TOBBIE WEKESA KANGEMI, NAIROBI Kioja kilizuka kwenye ploti moja mtaani humu baada ya mwanadada kumshurutisha jamaa kuhama ploti...
- by adminleo
- December 11th, 2019
Vipusa wahamia kwa polo mkora
Na TOBBIE WEKESA NETIMA, BUNGOMA POLO mmoja kutoka eneo hili alijipata taabani baada ya warembo wawili kumvamia wakitaka awaoe...
- by adminleo
- December 11th, 2019
Zogo mke kuvukishwa mto na ‘ex’
Na Leah Makena GACIONGO, THARAKA NITHI Sinema ya bure ilishuhudiwa eneo hili mume alipompapura mke wake kwa kuvukishwa mto na mpenzi...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Kipusa agawa asali kulipiza kisasi
Na Tobbie Wekesa KABUCHAI, BUNGOMA POLO mmoja wa eneo hili, alishindwa kujieleza alipogundua kuwa mkewe alitekeleza tishio lake la...
- by adminleo
- July 31st, 2019
Kipusa awaka kupata sketi kitandani
Na LEAH MAKENA SABAKI, SYOKIMAU Mgogoro ulizuka katika nyumba moja eneo hili kipusa aliyemtembelea mpenzi wake alipowaka kwa hasira...
- by adminleo
- July 28th, 2019
Jombi azimia kung’amua mke ana mwanaharamu
NA NICHOLAS CHERUIYOT BELGUT, KERICHO Jombi wa hapa, alizimia kwa muda baada ya kugundua kuwa mkewe ana mtoto wa kiume aliyezaa kabla...
- by adminleo
- July 22nd, 2019
Kibarua adungwa kisu alipofumaniwa na mke wa mtu kitandani
Na GEORGE MUNENE MAISHA ya kibarua mmoja katika Kaunti ya Kirinyaga yako hatarini baada ya kudungwa kwa kisu na mwanamume ambaye...
- by adminleo
- July 3rd, 2019
Polo ahama baada ya kufumania mke akitafunwa na rafiki
Na TOBBIE WEKESA USENGE, BONDO Kalameni mmoja wa eneo hili aliwashangaza wengi alipoamua kugura boma baada ya kumpata mkewe akila...
- by adminleo
- May 17th, 2019
KIKOLEZO: Utamu wa mchepuko
Na THOMAS MATIKO UNAWEZA kusema kuwa mchepuko umeondokea kuwa kama vile ni mtindo wa kawaida sana ijapo sio sawa. Kikweli mchepuko...
- by adminleo
- May 5th, 2019
Afumaniwa akigawia ‘mjomba wa ughaibuni’ asali
Na TOBBIE WEKESA UTAWALA, NAIROBI ILIKUWA ni mguu niponye kwa kipusa mmoja eneo hili baada ya kunaswa na mume wake akigawa tunda.?...
- by adminleo
- April 23rd, 2019
Natoka na mumeo, kipusa ajigamba
Na MIRRIAM MUTUNGA SOUTH B, NAIROBI SINEMA ya bure ilishuhudiwa kwenye ploti moja mtaani hapa vipusa wawili walipotwangana makonde...