Tag: MESSI
- by T L
- December 1st, 2022
KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Argentina watinga hatua ya 16-bora
Na MASHIRIKA ARGENTINA walifuzu kwa raundi ya 16-bora ya Kombe la Dunia mwaka huu baada ya kutandika Poland 2-0 katika mchuano wao wa...
- by T L
- February 7th, 2022
Messi aongoza PSG kuponda Lille na kufungua mwanya wa alama 13 kileleni mwa Ligue 1
Na MASHIRIKA LIONEL Messi alifunga bao lake la pili katika Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) mnamo Jumapili usiku aliposaidia waajiri wake...
- by T L
- November 30th, 2021
Messi aweka rekodi ya kushinda tuzo ya Ballon d’Or kwa mara ya saba
Na MASHIRIKA FOWADI wa Paris Saint-Germain (PSG) na timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, ameweka rekodi ya kutwaa tuzo ya Ballon...
Messi kuondoka Barcelona
Na MASHIRIKA BARCELONA wamethibitisha kwamba nyota Lionel Messi hatasalia kambini mwao muhula huu kwa sababu ya “changamoto za kifedha...
Argentina na Chile watoka sare ya 1-1 kwenye mechi ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia 2022
Na MASHIRIKA ARGENTINA walipoteza fursa ya kuwapita Brazil kileleni mwa jedwali la vikosi vinavyowania tiketi ya kufuzu kwa fainali za...
Messi apewa kadi nyekundu ya kwanza akichezea Barca
Na MASHIRIKA LIONEL Messi, 33, alionyeshwa kadi nyekundu kwa mara ya kwanza akiwa mchezaji wa Barcelona katika fainali ya Spanish Super...
Messi acheka na nyavu katika ushindi mwembamba wa Barcelona dhidi ya Levante
Na MASHIRIKA LIONEL Messi alifungia Barcelona bao la pekee na la ushindi dhidi ya Levante katika Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) mnamo...
Ishara Guardiola ataungana upya na Messi Barcelona 2021
CHRIS ADUNGO Na MASHIRIKA MFANYABIASHARA Victor Font ambaye anapigiwa upatu kuwa Rais mpya wa Barcelona, amesema kwamba kubwa zaidi...
Messi alilipwa Sh13.7 bilioni msimu uliopita
Na MASHIRIKA LIONEL Messi ndiye mwanasoka anayedumishwa kwa mshahara wa juu zaidi duniani kufikia sasa mwaka huu. Haya ni kwa mujibu wa...
Messi achezea Barcelona kwa mara ya kwanza tangu kuhama kwake kutibuke
Na MASHIRIKA LIONEL Messi, 33, alichezea Barcelona kwa mara ya kwanza tangu jaribio lake la kuagana na miamba hao wa soka ya Uhispania...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Messi afunga Barcelona wakirejelea La Liga kwa kishindo
Na CHRIS ADUNGO BARCELONA walifunga bao katika sekunde ya 66 ya kurejelea kwao kampeni za Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) na kupata...
- by adminleo
- June 13th, 2020
Barcelona yathibitisha Messi, Suarez na Umtiti wamepona
CHRIS ADUNGO na MASHIRIKA VIGOGO Luis Suarez na Lionel Messi wanatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi cha Barcelona kitakachovaana na Real...