• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 3:53 PM

MZAHA WA SONKO: Miguna akataa uteuzi

Na WAANDISHI WETU GAVANA wa Nairobi Mike Sonko, alionekana kuwachezea shere wakazi wa Nairobi na taifa kwa jumla alipotangaza Jumatano...

Hauwezi kumlazimishia Miguna jambo – Ombeta

Na RICHARD MUNGUTI WAKILI Cliff Ombeta alithibitisha Alhamisi kuwa Gavana Mike Sonko alimteua mwanaharakati na wakili Dkt Miguna Miguna...

NAIBU GAVANA NAIROBI: Jina la Miguna lawasilishwa kwa spika Elachi

Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Beatrice Elachi amethibitisha kwamba Gavana wa Nairobi Mike Sonko amemteua...

MIGUNA MIGUNA: Ajipiga kifua kisha kukunja mkia na kusalia Canada

Na WYCLIFFE MUIA MWANASIASA na wakili mbishi aliyefurushwa nchini, Dkt Miguna Miguna alikunja mkia kuhusu kurejea Kenya Jumatano licha...

Miguna aapa kurejea nchini hapo Mei 16

Na WYCLIFFE MUIA WAKILI Dkt Miguna Miguna anakusudia kurejea nchini mwezi huu japo haijabainika iwapo serikali ya Kenya imemrudishia...

Miguna apinga vikali juhudi za kubadili katiba

Na VALENTINE OBARA MWANAHARAKATI wa upinzani, Dkt Miguna Miguna, amepinga juhudi za marekebisho ya katiba zinazoshinikizwa na Kiongozi...

Tumia muafaka kunirejesha Kenya, Miguna amlilia Raila

Na WYCLIFFE MUIA WAKILI Miguna Miguna sasa anamtaka kinara wa ODM Raila Odinga kutumia muafaka aliyotia saini na Rais Uhuru Kenyatta...

Canada yaitaka Kenya itoe sababu ya kumfurusha Miguna tena

Na MWANDISHI WETU SERIKALI ya Canada imeitaka Kenya kuwasilisha maelezo kirasmi kwa nini wakili Miguna Miguna alitimuliwa nchini kwa...

Serikali haikupewa agizo na korti yoyote, Miguna hakufurushwa – Matiang’i

JOHN NGIRACHU na ELVIS ONDIEKI WAZIRI wa Usalama Dkt Fred Matiang'i Jumanne ametetea vikali serikali kuhusu jinsi ilishughulikia kesi ya...

Miguna aapa kurudi Kenya kupambana na Jubilee

VALENTINE OBARA na WANDERI KAMAU MWANAHARAKATI aliyefurushwa nchini, Miguna Miguna Jumatatu alirudi Canada na kuapa kurejea Kenya...

‘Miguna atarejea Kenya baada ya matibabu nchini Canada’

Na CHARLES WASONGA WAKILI mtatanishi Miguna Miguna amewasili jijini Toronto, Canada, Jumatatu baada ya kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa...

JAMVI: Muafaka ulivyoyeyusha siasa kali za Raila na NASA

Na BENSON MATHEKA HUENDA kinara wa NASA, Raila Odinga aliangukia mtego wa kuzima siasa zake kali za kuikosoa serikali kwa kukubali...