Tag: miguna
- by adminleo
- May 17th, 2018
MZAHA WA SONKO: Miguna akataa uteuzi
Na WAANDISHI WETU GAVANA wa Nairobi Mike Sonko, alionekana kuwachezea shere wakazi wa Nairobi na taifa kwa jumla alipotangaza Jumatano...
- by adminleo
- May 17th, 2018
Hauwezi kumlazimishia Miguna jambo – Ombeta
Na RICHARD MUNGUTI WAKILI Cliff Ombeta alithibitisha Alhamisi kuwa Gavana Mike Sonko alimteua mwanaharakati na wakili Dkt Miguna Miguna...
- by adminleo
- May 17th, 2018
NAIBU GAVANA NAIROBI: Jina la Miguna lawasilishwa kwa spika Elachi
Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Beatrice Elachi amethibitisha kwamba Gavana wa Nairobi Mike Sonko amemteua...
- by adminleo
- May 16th, 2018
MIGUNA MIGUNA: Ajipiga kifua kisha kukunja mkia na kusalia Canada
Na WYCLIFFE MUIA MWANASIASA na wakili mbishi aliyefurushwa nchini, Dkt Miguna Miguna alikunja mkia kuhusu kurejea Kenya Jumatano licha...
- by adminleo
- May 6th, 2018
Miguna aapa kurejea nchini hapo Mei 16
Na WYCLIFFE MUIA WAKILI Dkt Miguna Miguna anakusudia kurejea nchini mwezi huu japo haijabainika iwapo serikali ya Kenya imemrudishia...
- by adminleo
- April 30th, 2018
Miguna apinga vikali juhudi za kubadili katiba
Na VALENTINE OBARA MWANAHARAKATI wa upinzani, Dkt Miguna Miguna, amepinga juhudi za marekebisho ya katiba zinazoshinikizwa na Kiongozi...
- by adminleo
- April 29th, 2018
Tumia muafaka kunirejesha Kenya, Miguna amlilia Raila
Na WYCLIFFE MUIA WAKILI Miguna Miguna sasa anamtaka kinara wa ODM Raila Odinga kutumia muafaka aliyotia saini na Rais Uhuru Kenyatta...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Canada yaitaka Kenya itoe sababu ya kumfurusha Miguna tena
Na MWANDISHI WETU SERIKALI ya Canada imeitaka Kenya kuwasilisha maelezo kirasmi kwa nini wakili Miguna Miguna alitimuliwa nchini kwa...
- by adminleo
- April 3rd, 2018
Serikali haikupewa agizo na korti yoyote, Miguna hakufurushwa – Matiang’i
JOHN NGIRACHU na ELVIS ONDIEKI WAZIRI wa Usalama Dkt Fred Matiang'i Jumanne ametetea vikali serikali kuhusu jinsi ilishughulikia kesi ya...
- by adminleo
- April 3rd, 2018
Miguna aapa kurudi Kenya kupambana na Jubilee
VALENTINE OBARA na WANDERI KAMAU MWANAHARAKATI aliyefurushwa nchini, Miguna Miguna Jumatatu alirudi Canada na kuapa kurejea Kenya...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
‘Miguna atarejea Kenya baada ya matibabu nchini Canada’
Na CHARLES WASONGA WAKILI mtatanishi Miguna Miguna amewasili jijini Toronto, Canada, Jumatatu baada ya kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa...
- by adminleo
- April 1st, 2018
JAMVI: Muafaka ulivyoyeyusha siasa kali za Raila na NASA
Na BENSON MATHEKA HUENDA kinara wa NASA, Raila Odinga aliangukia mtego wa kuzima siasa zake kali za kuikosoa serikali kwa kukubali...