Tag: mke
- by adminleo
- August 4th, 2020
Asema mume alifaa kufa badala ya mbwa
Na MASHIRIKA Frankfurt, Ujerumani MWANAMKE mmoja katika mji huu alishangaza jamaa na marafiki kwa kusema kuwa heri mumewe angekufa...
- by adminleo
- December 1st, 2019
Polo aandaa hafla ya kumtema mkewe
Na TOBBIE WEKESA WEBUYE MJINI KALAMENI mmoja kutoka hapa alishangaza watu alipoandaa hafla ya kuachana na mkewe. Inasemekana polo...
- by adminleo
- August 24th, 2019
Mwanamume apokonywa mke na pasta aliyesimamia harusi yake
Na KNA MFANYABIASHARA mmoja kutoka eneo la Juja Farm, Kaunti ya Kiambu, anasononeka baada ya mkewe wa miaka 26 waliyejaliwa watoto...
- by adminleo
- July 7th, 2019
Adhani kapata mke kumbe kicheche
Na John Musyoki KIAMBERE MJINI KALAMENI mmoja mjini hapa alijuta baada ya demu aliyemkaribisha kwake kumuibia pesa na simu. Duru...
- by adminleo
- April 30th, 2019
Atupa mke kwa kuchoshwa na wakwe
Na John Musyoki Kiritiri, EMBU JOMBI mmoja kutoka eneo hili aliwashangaza wazazi wake alipoamua kumtaliki mkewe akidai wakwe zake...
- by adminleo
- April 1st, 2019
Jombi atoroka mke aliyeletewa na mamake
NA LEAH MAKENA KANGETA, MAUA Kalameni wa hapa alilazimika kutoroka nyumbani kuhepa mwanadada aliyechaguliwa na mama yake kuwa mke...
- by adminleo
- March 11th, 2019
Ashangaza kujificha msituni miaka 10 kuhepa ukorofi wa mkewe
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMUME kutoka Uingereza ameshangaza ulimwengu baada ya kuibuka kuwa wakati fulani alipochoshwa na usumbufu wa...
- by adminleo
- March 10th, 2019
Machozi yamtiririka polo akinyenyekea mkewe asimteme
Na Nicholas Cheruiyot Kaborok, Kericho Kulikuwa na kioja katika mtaa huu jamaa alipompata mkewe akitoroka kurudi kwao na kumlilia...
- by adminleo
- February 18th, 2019
Jombi amrithi mke wa ndugu aliyehamia mjini
Na TOBBIE WEKESA MPELI, BUNGOMA POLO mmoja kutoka hapa alipigwa na mshangao alipopata mkewe alichukuliwa na ndugu yake mdogo. ?...
- by adminleo
- February 4th, 2019
UNYAMA: Mke kutoka kuzimu alivyompa mumewe upofu daima milele
Na CECIL ODONGO KILA mwaka Kenya inapowakumbuka wahanga wa shambulizi la kigaidi la Westgate lililotokea Septemba 21, 2013, uchungu,...
- by adminleo
- October 15th, 2018
Jombi aomba kanisa limsaidie kutimua mke
Na TOBBBIE WEKESA KABARI, KIRINYAGA Kalameni mmoja aliwashangaza waumini wa kainsa moja la hapa alipoingia kanisani na kuomba...
- by adminleo
- August 7th, 2018
Atwoli akana kutoroka na mke wa watu
VICTOR OTIENO na PETER MBURU KATIBU Mkuu wa muungano wa vyama vya wafanyakazi (COTU) Francis Atwoli amejitokeza kujibu uvumi uliotokea...