Tag: moi
- by adminleo
- January 22nd, 2020
Uhuru aiga Moi kuzima wakosoaji
Na MWANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta ameiga mbinu za mlezi wake wa kisiasa, Rais Mstaafu Daniel Arap Moi kuwazima wanaokosoa utawala...
- by adminleo
- December 22nd, 2019
Mwombeeni Mzee Moi, Gideon arai Wakenya wakumbuke babaye
Na FRANCIS MUREITHI SENETA Gideon Moi wa Baringo amesema kuwa hali ya afya ya Rais Mstaafu Daniel Moi si nzuri, lakini anaendelea kupata...
- by adminleo
- November 14th, 2019
‘Mzee Moi anaendelea vyema hospitalini’
Na ERIC MATARA RAIS Mstaafu Daniel arap Moi anaendelea vyema na matibabu katika Hospitali ya Nairobi ambapo amelazwa. Msemaji wake,...
- by adminleo
- November 7th, 2019
Mwanafunzi mjanja wa Moi
Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta amejitokeza kuwa kiongozi mjanja wa siasa sawa na alivyokuwa mlezi wake wa kisiasa, Rais mstaafu...
- by adminleo
- August 25th, 2019
Wanaoishi karibu na Uhuru na Moi walia kukosa maji kwa miaka 10
RICHARD MAOSI NA KEVIN ROTICH Eneo la Mangu linalopatikana katika kaunti ndogo ya Rongai, Nakuru linazungukwa na makazi ya rais wa...
- by adminleo
- July 2nd, 2019
Wafugaji kuzuia mawakili wa Moi kutwaa ng’ombe
Na JOSEPH WANGUI KUNDI la wafugaji kutoka Kaunti ya Samburu limefika kortini likitaka kusimamisha mpango wa kuuza mifugo yao ili kulipa...
- by adminleo
- May 22nd, 2019
Moi afuata nyayo za Ruto kujijenga kisiasa Bondeni
BARNABAS BII Na WYCLIFF KIPSANG MWENYEKITI wa Chama cha Kanu, Bw Gideon Moi, amekuwa akikutana na wazee wa jamii na watu wenye ushawishi...
- by adminleo
- May 19th, 2019
Mkewe Gideon Moi akataa kazi ya serikali
Na PETER MBURU ZAHRA Moi, mkewe seneta wa Baringo Gideon Moi amekataa uteuzi kuwa mkurugenzi katika Bodi ya Usimamizi wa Muungano wa...
- by adminleo
- May 16th, 2019
Mzee Moi kulipa Sh1 bilioni kwa kunyakua shamba la mjane
Na RICHARD MUNGUTI HATIMAYE haki imetendeka kwa mjane aliyenyang’anywa shamba na rais mstaafu Daniel arap Moi zaidi ya miaka 30...
- by adminleo
- May 13th, 2019
Moi amshangaa Ruto kuanza kampeni za 2022
Na CHARLES WASONGA SENETA wa Baringo Gideon Moi amemshambulia Naibu Rais William Ruto kwa kile anachodai ni hatua ya kughairi Ajenda Nne...
- by adminleo
- May 9th, 2019
Sina muda wa kumtembelea Ruto Karen – Moi
Na PETER MBURU SENETA wa Baringo Gideon Moi amepinga madai kwenye mitandao ya kijamii kuwa alikutana na Naibu Rais William Ruto nyumbani...
- by adminleo
- May 6th, 2019
Raila arejea kwa Moi
Na PETER MBURU KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga na kakake Dkt Oburu Odinga Jumapili walikuwa nyumbani kwa Rais Mstaafu Daniel arap...