• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 10:10 AM

Uhuru aiga Moi kuzima wakosoaji

Na MWANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta ameiga mbinu za mlezi wake wa kisiasa, Rais Mstaafu Daniel Arap Moi kuwazima wanaokosoa utawala...

Mwombeeni Mzee Moi, Gideon arai Wakenya wakumbuke babaye

Na FRANCIS MUREITHI SENETA Gideon Moi wa Baringo amesema kuwa hali ya afya ya Rais Mstaafu Daniel Moi si nzuri, lakini anaendelea kupata...

‘Mzee Moi anaendelea vyema hospitalini’

Na ERIC MATARA RAIS Mstaafu Daniel arap Moi anaendelea vyema na matibabu katika Hospitali ya Nairobi ambapo amelazwa. Msemaji wake,...

Mwanafunzi mjanja wa Moi

Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta amejitokeza kuwa kiongozi mjanja wa siasa sawa na alivyokuwa mlezi wake wa kisiasa, Rais mstaafu...

Wanaoishi karibu na Uhuru na Moi walia kukosa maji kwa miaka 10

RICHARD MAOSI NA KEVIN ROTICH Eneo la Mangu linalopatikana katika kaunti ndogo ya Rongai, Nakuru linazungukwa na makazi ya rais wa...

Wafugaji kuzuia mawakili wa Moi kutwaa ng’ombe

Na JOSEPH WANGUI KUNDI la wafugaji kutoka Kaunti ya Samburu limefika kortini likitaka kusimamisha mpango wa kuuza mifugo yao ili kulipa...

Moi afuata nyayo za Ruto kujijenga kisiasa Bondeni

BARNABAS BII Na WYCLIFF KIPSANG MWENYEKITI wa Chama cha Kanu, Bw Gideon Moi, amekuwa akikutana na wazee wa jamii na watu wenye ushawishi...

Mkewe Gideon Moi akataa kazi ya serikali

Na PETER MBURU ZAHRA Moi, mkewe seneta wa Baringo Gideon Moi amekataa uteuzi kuwa mkurugenzi katika Bodi ya Usimamizi wa Muungano wa...

Mzee Moi kulipa Sh1 bilioni kwa kunyakua shamba la mjane

Na RICHARD MUNGUTI HATIMAYE haki imetendeka kwa mjane aliyenyang’anywa shamba na rais mstaafu Daniel arap Moi zaidi ya miaka 30...

Moi amshangaa Ruto kuanza kampeni za 2022

Na CHARLES WASONGA SENETA wa Baringo Gideon Moi amemshambulia Naibu Rais William Ruto kwa kile anachodai ni hatua ya kughairi Ajenda Nne...

Sina muda wa kumtembelea Ruto Karen – Moi

Na PETER MBURU SENETA wa Baringo Gideon Moi amepinga madai kwenye mitandao ya kijamii kuwa alikutana na Naibu Rais William Ruto nyumbani...

Raila arejea kwa Moi

Na PETER MBURU KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga na kakake Dkt Oburu Odinga Jumapili walikuwa nyumbani kwa Rais Mstaafu Daniel arap...