Tag: ndoa
Afunguka jinsi maisha yalimtesa, mama yake akiolewa na wanaume 10 tofauti
Na SAMMY WAWERU Nicholas Muturi ni mwingi wa tabasamu, furaha na bashasha unapopata fursa ya kutangamana naye. Ni mkwasi wa ushauri...
- by adminleo
- July 25th, 2020
‘Mke wangu mtamu ila tamaa itaniua…’
NA PAULINE ONGAJI Wanaume wengi siku hizi watakuambia kwamba japo wanawake ni wengi, kumpata mke ni sawa na kutafuta maziwa ya kuku....
- by adminleo
- July 20th, 2020
Polo mtafuna yaya afumaniwa na mke wakati wa corona
KAPKATET, KERICHO NA NICHOLAS CHERUIYOT ILIBIDI polo wa hapa akubali kwa haraka kufanya kazi za jikoni ili kuokoa ndoa yake baada ya...
- by adminleo
- July 9th, 2020
Familia yateta chifu kuagiza warudishe mahari
Na MAUREEN ONGALA FAMILIA katika kijiji cha Muhoni, eneobunge la Ganze imemkashifu chifu wa eneo hilo kwa kuwaagiza kurudisha mahari ya...
- by adminleo
- July 7th, 2020
WANDERI: Usiishi katika ndoa isiyo furaha ukihofia jamii, dini
Na WANDERI KAMAU MOJAWAPO ya hatua kuu katika maisha ya mwanadamu hapa duniani ni ndoa. Ndoa huchukuliwa kuwa hatua muhimu sana kuliko...
- by adminleo
- May 31st, 2020
MILA NA DESTURI: Utoaji mahari na ndoa katika jamii ya Wasomali
Na FARHIYA HUSSEIN [email protected] ILIKUWA fahari kubwa Taifa Leo kupata kupata fursa ya kujumuika na jamii ya Wasomali...
- by adminleo
- May 20th, 2020
Ofisi ya msajili yasimamisha ndoa tena
Na BENSON MATHEKA NDOA zote za kijamii zinazofanyika katika ofisi za msajili wa ndoa zimesimamishwa tena, siku mbili baada ya ofisi hizo...
- by adminleo
- March 8th, 2020
RIZIKI: Hiki kinaweza kuyumba Mungu akakujalia kile
Na SAMMY WAWERU BI Annitah Njeru ni mtulivu na mwenye tabasamu unapotangamana na kushiriki mazungumzo naye. Ni mzaliwa wa Kerugoya,...
- by adminleo
- February 26th, 2020
Pasta adinda kuombea polo aliyekataa kuoa bintiye
Na John Musyoki OTHAYA, Nyeri Pasta wa kanisa moja eneo hili, alishangaza waumini alipodinda kumuombea jamaa aliyekataa kuoa binti...
- by adminleo
- February 6th, 2020
Demu afichua mumewe amemnyima asali kwa miaka 4
Na TOBBIE WEKESA WANGURU, KIRINYAGA Kipusa mmoja kutoka hapa aliwashangaza wengi alipodai ndoa yake haina ladha. Mwanadada huyo...
- by adminleo
- January 21st, 2020
Afokea pasta kwa kumkataza kuoa kidosho
NA JOHN MUSYOKI MATENDENI, EMBU MUUMINI wa kanisa moja hapa alimkemea pasta kwa kukataa kumsaidia kutafuta kidosho mrembo wa kuoa...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Ataka idhini aoe mke wa nduguye
Na TOBBIE WEKESA SINOKO, BUNGOMA Kalameni mmoja kutoka hapa aliwashangaza wengi alipoandaa kikao kuomba idhini ya kumuoa mke wa ndugu...