Tag: ndoa
- by adminleo
- July 14th, 2019
WANDERI: Vijana tulizeni boli, ndoa ni safari ndefu!
Na WANDERI KAMAU HAFLA ya kufana ya harusi kati ya Gavana wa Kirinyaga, Bi Ann Waiguru na wakili Kamotho Waiganjo inapaswa kutufunza...
- by adminleo
- June 16th, 2019
SHERIA: Ndoa bila tendo la ndoa huzua doa
NA BENSON MATHEKA Wasomaji wengi wameniuliza ikiwa ni kosa wanandoa kukosa kushiriki tendo la ndoa na ikiwa mtu anaweza kutalikiwa kwa...
- by adminleo
- May 30th, 2019
WANDERI: Utamaduni wa Mwafrika tiba ya matatizo ya ndoa
Na WANDERI KAMAU MIMI bado sijaoa. Ningali kapera. Sababu yangu kuu kutokuwa katika ndoa si kwa kukosa mchumba, kutokuwa ‘mwanamume...
- by adminleo
- May 26th, 2019
Mke amshtaki mume kwa ulaghai wa penzi
NA BRIAN OCHARO MWANAMUME mwenye umri wa miaka 30, ameshtakiwa na mwanamke kwa kumuoa akijua kwamba alikuwa na mke mwingine. Bi Neema...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
NDOA: Sababu ya mume na mke kuandamana kwa baa kila siku
NA MWANGI MUIRURI KWA miaka mitano sasa, Bw James Kiai na mkewe (pichani) katika Kaunti ya Murang’a wamekuwa wakionekana ndani ya baa...
- by adminleo
- May 14th, 2019
Amri wanaume waoe wake 2 au wakamatwe ni habari feki – Mswati
MASHIRIKA Na CHARLES WASONGA SERIKALI ya Eswatini Jumanne ilikana habari zilizosambaa mitandaoni kwamba Mfalme Mswati III,...
- by adminleo
- April 27th, 2019
SHERIA: Tatizo la ulaghai wa wahubiri katika usajili wa ndoa
Na BENSON MATHEKA JAMES Wekesa kutoka Chwele anataka kujua hatua za kisheria ambazo kiongozi wa kidini anafaa kuchukuliwa kwa kupotosha...
- by adminleo
- April 26th, 2019
Kauli ya Mhubiri Lukas Ndung’u kuhusu misukosuko ya ndoa
Na MWANGI MUIRURI USHAWAHI kujiuliza ni kwa nini wanawake ndiYo hushawishika haraka kujiunga na dini na pia kuwa wakarimu...
- by adminleo
- April 21st, 2019
Raha ya ndoa ni kutogawa asali, utafiti wathibitisha
NA BENSON MATHEKA Siri ya kuwa na maisha ya furaha katika ndoa sio kuchagua mchumba mwenye mali, sura au umbo la kuvutia, ni kutokuwa na...
- by adminleo
- April 15th, 2019
Maguire, Lindelof na Reus madume ugani na chumbani vilevile
NA MWANDISHI WETU BEKI matata wa Leicester City na timu ya taifa ya Uingereza, Harry Maguire, 26, sasa amekuwa dume kamili baada ya...
- by adminleo
- April 8th, 2019
URODA KWA FOLENI: Je, ni rahisi kuacha ukahaba?
NA MWANDISHI WETU SIO mara ya kwanza kwa mji wa Nakuru kugonga vichwa vya habari kutokana na biashara ya ukahaba inayoendeshwa na...
- by adminleo
- April 7th, 2019
Jombi azomewa kwa kuoa ajuza
NA JOHN MUSYOKI MATENDENI, EMBU JAMAA mmoja kutoka hapa alijipata pabaya alipofokewa na mama yake kwa kuoa mwanadada mzee...