• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Wageni Pwani waonywa kuwa makini baharini

Na KNA WAGENI ambao wananuia kuzuru maeneo ya Pwani wakati wa shamrashamra za kufunga mwaka, wameshauriwa kuwa waangalifu hasa...

Riziki: Wamlilia Ruto awatoe kwa ukahaba

Na WACHIRA MWANGI KIKUNDI cha wanawake wanaofanya kazi ya ukahaba katika Kaunti ya Mombasa, wamemwomba Naibu Rais William Ruto awasaidie...

Wakazi 500 wa Nyali wanufaika na bima ya afya kutoka mfuko wa NG-CDF

Na MISHI GONGO WATU 500 kutoka eneobunge la Nyali mjini Mombasa wamefaidika na bima ya afya iliyofadhiliwa na mfuko wa hazina ya NG-CDF...

Uvundo wa majitaka wakosesha amani wakazi wa Frere Town

Na MISHI GONGO WAKAZI katika eneo la Frere Town eneobunge la Nyali, Kaunti ya Mombasa, wanahofia hali zao za kiafya kufuatia mtiririko...

Kaunti yapanda miti kwa ardhi iliyotumika kama dampo Nyali

Na MISHI GONGO SERIKALI ya kaunti ya Mombasa imeanza kupanda miti katika sehemu iliyokuwa jaa la VOK eneo la Nyali. Kipande hicho cha...

COVID-19: Mbunge aitaka serikali iwasaidie wakazi wa Kibokoni

Na WINNIE ATIENO MBUNGE wa Nyali, Bw Mohamed Ali ameitaka serikali kuwasaidia wakazi wa Kibokoni wanaoendelea kutaabika baada ya...

Mbunge wa Nyali ataka nguvu za wanasiasa zielekezwe katika kukabili Covid-19

Na MISHI GONGO MBUNGE wa Nyali Mohamed Ali sasa anasema mihemko ya kisiasa inayoshuhudiwa nchini si mizuri wakati huu taifa na ulimwengu...

Nyali wahamasishwa kuhusu Covid-19

Na MISHI GONGO KUFUATIA ongezeko la maambukizi ya Covid-19 katika Kaunti ya Mombasa katika kile kinatajwa kuchangiwa na wakazi kukiuka...

Awamu ya kwanza ugavi wa chakula kwa familia za kipato cha chini Mombasa kukamilika kesho Jumanne

Na MISHI GONGO AWAMU ya kwanza ya ugavi wa chakula kwa familia za kipato cha chini katika Kaunti ya Mombasa unatarajiwa kukamilika...

Mkurugenzi wa Skyways, wazazi wawatunuka walimu chakula na bidhaa muhimu

Na MISHI GONGO IMEKUWA furaha kwa walimu wa shule ya msingi ya mmiliki binafsi ya Skyways iliyoko VOK eneobunge la Nyali baada ya wazazi...

Vijana watatiza hotuba ya Aisha Jumwa

MOHAMMED AHMED na CHARLES WASONGA KUNDI la vijana mjini Mombasa, Ijumaa limemzomea Mbunge wa Malindi Aisha Jumwa alipokuwa akiwahutubia...