Tag: Nyali
- by T L
- December 2nd, 2021
Wageni Pwani waonywa kuwa makini baharini
Na KNA WAGENI ambao wananuia kuzuru maeneo ya Pwani wakati wa shamrashamra za kufunga mwaka, wameshauriwa kuwa waangalifu hasa...
- by T L
- December 2nd, 2021
Riziki: Wamlilia Ruto awatoe kwa ukahaba
Na WACHIRA MWANGI KIKUNDI cha wanawake wanaofanya kazi ya ukahaba katika Kaunti ya Mombasa, wamemwomba Naibu Rais William Ruto awasaidie...
Wakazi 500 wa Nyali wanufaika na bima ya afya kutoka mfuko wa NG-CDF
Na MISHI GONGO WATU 500 kutoka eneobunge la Nyali mjini Mombasa wamefaidika na bima ya afya iliyofadhiliwa na mfuko wa hazina ya NG-CDF...
- by adminleo
- August 1st, 2020
Uvundo wa majitaka wakosesha amani wakazi wa Frere Town
Na MISHI GONGO WAKAZI katika eneo la Frere Town eneobunge la Nyali, Kaunti ya Mombasa, wanahofia hali zao za kiafya kufuatia mtiririko...
- by adminleo
- June 8th, 2020
Kaunti yapanda miti kwa ardhi iliyotumika kama dampo Nyali
Na MISHI GONGO SERIKALI ya kaunti ya Mombasa imeanza kupanda miti katika sehemu iliyokuwa jaa la VOK eneo la Nyali. Kipande hicho cha...
- by adminleo
- May 23rd, 2020
COVID-19: Mbunge aitaka serikali iwasaidie wakazi wa Kibokoni
Na WINNIE ATIENO MBUNGE wa Nyali, Bw Mohamed Ali ameitaka serikali kuwasaidia wakazi wa Kibokoni wanaoendelea kutaabika baada ya...
- by adminleo
- May 20th, 2020
Mbunge wa Nyali ataka nguvu za wanasiasa zielekezwe katika kukabili Covid-19
Na MISHI GONGO MBUNGE wa Nyali Mohamed Ali sasa anasema mihemko ya kisiasa inayoshuhudiwa nchini si mizuri wakati huu taifa na ulimwengu...
- by adminleo
- May 18th, 2020
Nyali wahamasishwa kuhusu Covid-19
Na MISHI GONGO KUFUATIA ongezeko la maambukizi ya Covid-19 katika Kaunti ya Mombasa katika kile kinatajwa kuchangiwa na wakazi kukiuka...
- by adminleo
- May 18th, 2020
Awamu ya kwanza ugavi wa chakula kwa familia za kipato cha chini Mombasa kukamilika kesho Jumanne
Na MISHI GONGO AWAMU ya kwanza ya ugavi wa chakula kwa familia za kipato cha chini katika Kaunti ya Mombasa unatarajiwa kukamilika...
- by adminleo
- May 7th, 2020
Mkurugenzi wa Skyways, wazazi wawatunuka walimu chakula na bidhaa muhimu
Na MISHI GONGO IMEKUWA furaha kwa walimu wa shule ya msingi ya mmiliki binafsi ya Skyways iliyoko VOK eneobunge la Nyali baada ya wazazi...
- by adminleo
- January 24th, 2020
Vijana watatiza hotuba ya Aisha Jumwa
MOHAMMED AHMED na CHARLES WASONGA KUNDI la vijana mjini Mombasa, Ijumaa limemzomea Mbunge wa Malindi Aisha Jumwa alipokuwa akiwahutubia...