Tag: nyandarua
- by T L
- December 15th, 2021
Kimemia pabaya washirika wakizidi kumkosoa
Na WAIKWA MAINA GAVANA wa Nyandarua Francis Kimemia, anakabiliwa na wakati mgumu akijiandaa kutetea kiti chake kwenye uchaguzi mkuu ujao...
- by T L
- December 13th, 2021
Madiwani 15 wa Nyandarua kujibu madai ya kujitengea mamilioni
Na WAIKWA MAINA TUME ya Maadili na Kukabiliana na Ufisadi (EACC) imeagiza madiwani 15 wa Kaunti ya Nyandarua kujibu madai ya kujitengea...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Nyandarua yasifiwa kutilia maanani kanuni za Covid-19
Na SAMMY WAWERU Nyandarua ni kati ya kaunti 9 ambazo hazijaandikisha maambukizi ya Covid - 19, tangu kisa cha kwanza cha ugonjwa huu...
- by adminleo
- June 11th, 2020
Daraja lasombwa na maji ya mafuriko Nyandarua
Na SAMMY WAWERU WENYE magari, madereva wa matatu na watumizi wengine wa barabara kati ya Njabini na Olkalou wametakiwa kutafuta njia...
- by adminleo
- December 20th, 2018
Hakuna Krismasi, Kimemia aambia wafanyakazi wake
Na WAIKWA MAINA WAFANYAKAZI wa serikali ya kaunti ya Nyandarua hawatapumzika kwa sherehe za Krismasi, huku hata waliokuwa likizoni...
- by adminleo
- June 7th, 2018
ANGA YA KILIO: Mabaki ya ndege na miili ya watu 10 yapatikana msituni
Na WAANDISHI WETU HUZUNI na majonzi zilitanda Alhamisi ilipobainika kuwa abiria wote wanane na wahudumu wawili wa ndege iliyoanguka...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Aliyejifanya wazimu akamatwa na misokoto ya bangi
Na WAIKWA MAINA POLISI katika Kaunti ya Nyandarua, wanamzuilia mwanamume ambaye amekuwa akijifanya mwendawazimu mjini Ol Kalou, lakini...
- by adminleo
- April 16th, 2018
Marufuku kutafuna miraa na muguka Nyandarua
Na WAIKWA MAINA WATAFUNAJI wa miraa na muguka katika Kaunti ya Nyandarua sasa watalazimika kutafuta bidhaa hizo katika kaunti jirani...