• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 7:45 AM

Kimemia pabaya washirika wakizidi kumkosoa

Na WAIKWA MAINA GAVANA wa Nyandarua Francis Kimemia, anakabiliwa na wakati mgumu akijiandaa kutetea kiti chake kwenye uchaguzi mkuu ujao...

Madiwani 15 wa Nyandarua kujibu madai ya kujitengea mamilioni

Na WAIKWA MAINA TUME ya Maadili na Kukabiliana na Ufisadi (EACC) imeagiza madiwani 15 wa Kaunti ya Nyandarua kujibu madai ya kujitengea...

Nyandarua yasifiwa kutilia maanani kanuni za Covid-19

Na SAMMY WAWERU Nyandarua ni kati ya kaunti 9 ambazo hazijaandikisha maambukizi ya Covid - 19, tangu kisa cha kwanza cha ugonjwa huu...

Daraja lasombwa na maji ya mafuriko Nyandarua

Na SAMMY WAWERU WENYE magari, madereva wa matatu na watumizi wengine wa barabara kati ya Njabini na Olkalou wametakiwa kutafuta njia...

Hakuna Krismasi, Kimemia aambia wafanyakazi wake

Na WAIKWA MAINA WAFANYAKAZI wa serikali ya kaunti ya Nyandarua hawatapumzika kwa sherehe za Krismasi, huku hata waliokuwa likizoni...

ANGA YA KILIO: Mabaki ya ndege na miili ya watu 10 yapatikana msituni

Na WAANDISHI WETU HUZUNI na majonzi zilitanda Alhamisi ilipobainika kuwa abiria wote wanane na wahudumu wawili wa ndege iliyoanguka...

Aliyejifanya wazimu akamatwa na misokoto ya bangi

Na WAIKWA MAINA POLISI katika Kaunti ya Nyandarua, wanamzuilia mwanamume ambaye amekuwa akijifanya mwendawazimu mjini Ol Kalou, lakini...

Marufuku kutafuna miraa na muguka Nyandarua

Na WAIKWA MAINA WATAFUNAJI wa miraa na muguka katika Kaunti ya Nyandarua sasa watalazimika kutafuta bidhaa hizo katika kaunti jirani...