• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 1:14 PM

Talaka ya Jubilee na ODM sasa yaiva

NA BENSON MATHEKA NDOA ya kisiasa iliyoleta pamoja vyama 26 ili kuunda Azimio la Umoja-One Kenya inaonekana kuvunjika baada ya ripoti...

ODM kuwafadhili wanachama wanawake watakaogombea ubunge maeneo 290 nchini

NA JUSTUS OCHIENG CHAMA cha ODM kinachoongozwa na aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga, kimepata ufadhili kusaidia wanawake wanaowania...

Himizo wafuasi wa ODM wajiandikishe kushiriki mchujo

Na GEORGE ODIWUOR ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Evans Kidero (pichani), amewahimiza wakazi wa Homa Bay kujiandikisha kwa wingi kuwa...

Mivutano kuhusu tiketi za ODM ‘itamharibia Raila’

VICTOR RABALLA NA KASSIM ADINASI WAWANIAJI viti katika ngome ya kiongozi wa ODM Raila Odinga ya Luo Nyanza, wameonywa dhidi ya mivutano...

Kibarua cha Raila waasi wakirejea ODM

Na RUTH MBULA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga anakabiliwa na kibarua kikubwa katika Kaunti ya Kisii, huku wagombeaji wa viti mbalimbali...

Wageni wakoroga starehe za vigogo wa zamani ODM

Na WAANDISHI WETU MAKABILIANO yameanza kuibuka kati ya wanasiasa wanaodai wamekuwa waaminifu kwa Chama cha ODM kwa muda mrefu, na...

Uhuru atia doa ndoa ya ODM, Jubilee

Na BENSON MATHEKA  JUKUMU ambalo Rais Uhuru Kenyatta atatekeleza baada ya chama chake cha Jubilee kuungana na ODM linatishia kulemaza...

Pendekezo la mchujo wa ODM laibua hofu

Na WAANDISHI WETU WAWANIAJI wanaolenga kuwania kiti cha ugavana katika eneo la Nyanza, wameingiwa na hofu kutokana na pendekezo la...

ODM: Raila si ‘kifaranga’ wa serikali

Na GEORGE ODIWUOR VIONGOZI wa ODM wamemtaka Naibu Rais Dkt William Ruto akome kumrejelea Kinara wao Raila Odinga kama mradi wa...

Msipounga Raila mtajuta, ODM yaambia OKA

Na SHABAN MAKOKHA VIONGOZI wa ODM, wamepuuza azma ya urais ya muungano wa One Kenya Alliance (OKA) wakisema vinara wake watajuta...

Mshirika wa karibu wa Shahbal ahamia UDA

NA MWANDISHI WETU Mwaniaji wa kiti cha Uwakilishi wa Wanawake Kaunti ya Mombasa Bi Miraj Abdullahi sasa ameachana na mshirika wake...

ODM yafanya uchaguzi wa wasimamizi tawi la Thika

Na LAWRENCE ONGARO HUKUn siasa za kutafuta uungwaji mkono zikiendelea kuchacha, chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kimefanya...