• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 5:55 AM

Simu za Sudi, Kositany zatwaliwa na DCI baada ya kuhojiwa saa kadha

NA ERIC MATARA MBUNGE wa Kapseret, Oscar Sudi, mwenzake wa Soy Caleb Kositany na Spika wa Bunge la Uasin Gishu, David Kiplagat jana...

Kinaya cha Sudi, Ng’eno katika jopo la nidhamu

Na DAVID MWERE WABUNGE ambao wanafuatiliwa sana na Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano (NCIC) kutokana na kutoa matamshi ya chuki...

Wazee wa Kaya watisha kumlaani Jumwa kwa kumtetea Sudi

CHARLES LWANGA na MAUREEN ONGALO WAZEE wa Kaya katika jamii ya Mijikenda wametishia kuwalaani viongozi wa Pwani wanaounga mkono matamshi...

Sudi ndani kwa siku mbili zaidi

RICHARD MAOSI NA JOSEPH OPENDA Mbunge wa Kapseret Oscar Sudi, amezuiliwa kwa siku mbili zaidi katika kituo cha polisi cha Nakuru...

Maswali mengi polisi 300 wakijaribu kukamata Sudi nyumbani usiku

Na ONYANGO K'ONYANGO JUHUDI za polisi kumkamata Mbunge wa Kapseret Oscar Sudi nyumbani kwake mnamo Ijumaa usiku zilikosa kutimia hata...

Ruto amuombe Rais msamaha – wabunge

Na CHARLES WASONGA WABUNGE wanachama wa Kamati ya Bunge kuhusu Usalama wamemtaka Naibu Rais William Ruto kumwomba msamaha Rais Uhuru...