• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Pesa za wizi hazina maana, akiri pasta

Na MWANGI MUIRURI PASTA Cyrus Njora wa Kanisa la Maximum Miracle Centre amefungua roho yake na kukiri jinsi alivyokuwa jambazi sugu...

Pasta kusubiri Yesu korokoroni

Na GEORGE MUNENE PASTA wa dhehebu la Akorino aliyewanajisi na kuwatunga mimba binti zake wawili wenye umri wa chini ya miaka 18, sasa...

Mapasta washtaki serikali kuzuia ibada

Na MAUREEN KAKAH MAPASTA watatu wameelekea kortini kutaka agizo la kuondolewa marufuku ya kuendesha ibada, na badala yake hatua ziwekwe...

Pasta adinda kuombea polo aliyekataa kuoa bintiye

Na John Musyoki OTHAYA, Nyeri Pasta wa kanisa moja eneo hili, alishangaza waumini alipodinda kumuombea jamaa aliyekataa kuoa binti...

Pasta muuaji aliwahi kufungwa Shimo la Tewa

DERICK LUVEGA na GASTONE VALUSI PASTA aliyemuua mkewe kanisani kisha akajitoa uhai alikuwa ametumikia kifungo gerezani kwa kumtishia...

Mhubiri ajiua baada ya kumsababishia mke majeraha yaliyomuua

DIANA MUTHEU na ANTHONY KITIMO MHUBIRI mmoja eneo la Bamburi, Kaunti ya Mombasa alijitoa roho Jumapili katika madhabahu ya kanisa lake,...

Waziri ataka mapasta tapeli wahukumiwe kama wahalifu

NA CHARLES WANYORO WAZIRI Utumishi wa Umma Prof Margaret Kobia Jumapili amependekeza kwamba wahubiri wanaodai kuwa na uwezo wa kuwaombea...

Mwanamume apokonywa mke na pasta aliyesimamia harusi yake

Na KNA MFANYABIASHARA mmoja kutoka eneo la Juja Farm, Kaunti ya Kiambu, anasononeka baada ya mkewe wa miaka 26 waliyejaliwa watoto...

Mganga aonya pasta kwa kumchomea biashara

Na TOBBIE WEKESA HAMISI, VIHIGA KIOJA kilizuka eneo hili baada ya mganga kumshambulia pasta akimlaumu kwa kumharibia...

Pasta mla fuska abanwa na kidosho

Na Leah Makena ISINYA, KAJIANDO Pasta wa hapa, alilazimika kumkabidhi kidosho mmoja sadaka iliyotolewa kanisani ili asianike vitendo...

Ajabu ya magavana kuajiri mapasta kuwaombea

Na VALENTINE OBARA MAGAVANA wanawaajiri wahubiri wa kuwaombea na kuwapa ushauri wa kiroho kwa mshahara wa hadi Sh1.7 milioni kwa mwaka,...

Pasta afumaniwa na polisi akifukua miili ili auze shamba

Na PETER MBURU POLISI eneo la Naivasha, Kaunti ya Nakuru Alhamisi walimkamata mhubiri, baada ya kumfumania akifukua miili ya watu wa...