• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:40 AM

TAHARIRI: Wahanga wa mkasa wa maporomoko Pokot wasaidiwe

NA MHARIRI Mkasa uliotokea Kaunti ya Pokot Magharibi ambapo watu 37 wanahofiwa kuzikwa na maporomoko ya ardhi usiku unasikitisha jinsi...

37 wazikwa hai

Na OSCAR KAKAI na BENSON MATHEKA Novemba 22 2019: Watu watatu wasombwa na maji katika visa viwili tofauti Mbooni, Makuen Oktoba 30...

Rais Kenyatta aagiza timu za uokozi KDF na idara ya polisi zipelekwe Pokot Magharibi

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta ameagiza timu za uokozi kutoka kwa wanajeshi wa ulinzi Kenya (KDF) na idara ya polisi kupelekwa...