Tag: tahariri
- by T L
- December 23rd, 2022
TAHARIRI: KCPE: Serikali itatue lalama kuhusu matokeo
NA MHARIRI BAADHI ya shule nchini zimejitokeza na kupinga matokeo ya Mtihani ya Darasa la Nane (KCPE) yaliyotangazwa Jumatano na Waziri...
- by T L
- December 20th, 2022
TAHARIRI: Usimamizi wa fedha za kaunti ukazwe zaidi
NA MHARIRI SERIKALI za kaunti zitalazimika kutafuta mbinu za usimamizi wa fedha iwapo magavana wanataka kujitolea kutimiza ahadi zao kwa...
- by T L
- December 19th, 2022
TAHARIRI: Bunge lirudishe mswada kuhusu utoaji, uhifadhi wa damu nchini
NA MHARIRI KILA Juni 14, ulimwengu huadhimisha Siku ya watu kuchangia damu duniani. Mwaka huu, kaulimbiu ilikuwa “Utoaji damu ni suala...
- by T L
- December 16th, 2022
TAHARIRI: Panayo haja ya Rais Ruto kuunganisha Wakenya wote
NA MHARIRI UCHAGUZI mkuu wa Agosti 9 ulikuwa wa kipekee kwa jinsi ulivyokuwa na ushindani mkali kuliko mwingineo wowote ambao umewahi...
- by T L
- December 11th, 2022
TAHARIRI: Naam, sekta ya viwanda ipewe uzito
NA MHARIRI MNAMO Ijumaa Rais William Ruto alipozuru eneo la Magharibi mwa Kenya, alisisitiza ahadi yake ya kuhakikisha kuwa viwanda vya...
- by T L
- December 7th, 2022
TAHARIRI: Si busara serikali kurudisha ada za benki kwa wateja watumiao simu
NA MHARIRI TANGAZO la Benki Kuu ya Kenya (CBK) kwamba wateja wataanza kutozwa ada ya kutoa pesa kutoka kwa benki hadi simu zao linajiri...
- by T L
- December 5th, 2022
TAHARIRI: Bajeti za kaunti zizingatie pia maoni ya umma
NA MHARIRI RIPOTI ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali inayoonyesha kuwa mabunge ya kaunti yanapitisha bajeti kiholela bila kuhusisha...
- by T L
- December 2nd, 2022
TAHARIRI: Muda mfupi wa kulipa Hustler Fund hakika haufai
NA MHARIRI MKOPO wa Hustler Fund ulioanza kutolewa kwa wananchi wenye uwezo mdogo kimapato mnamo Jumatano huenda usiwafaidi raia jinsi...
- by T L
- December 1st, 2022
TAHARIRI: Serikali iwapatie mafunzo mahasla watakaokopa pesa za Hustler Fund
NA MHARIRI UZINDUZI wa Hazina ya Hustler jana Jumatano sasa unawapa matumaini mamia ya mama mboga, wanabodaboda na wafanyibiashara ndogo...
- by T L
- November 24th, 2022
TAHARIRI: GMO: Serikali ielimishe wananchi kuondoa dukuduku
NA MHARIRI HATUA ya serikali kuondoa marufuku dhidi ya mahindi ya GMO imezua mjadala mkali nchini. Suala la GMO limetekwa nyara na...
- by T L
- November 15th, 2022
TAHARIRI: Serikali ieleze iwapo kuna ongezeko la maambukizi ya Covid-19
NA MHARIRI KWA wiki chache sasa, kumekuwa na wasiwasi katika baadhi ya sehemu za nchi kuhusu homa ambayo inaonekana kuenea kwa...
- by T L
- November 14th, 2022
TAHARIRI: Wabunge wasitishe ulafi, wajali waathiriwa wa ukame
NA MHARIRI RIPOTI kwamba wabunge, kupitia Tume ya Huduma ya Bunge (PSC), wanataka kushinikiza Tume ya Mishahara na Marupurupu (SRC)...