• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

Kahata arejea kambini mwa Simba SC huku ligi kuu ya TZ ikirejelewa rasmi Juni 13

Na CHRIS ADUNGO KIUNGO matata wa Harambee Stars, Francis Kahata aliwasili jijini Dar es Salaam, Tanzania kuungana na wanasoka wenzake wa...

Kenya yaanza mazungumzo ya kidiplomasia na Tanzania kuzuia uhasama

Na CHARLES WASONGA KENYA imeanza mazungumzo ya kidiplomasia na Tanzania kuzuia uhasama ambao yaelekea umechangiwa na hatua ya Kenya...

TAHARIRI: EAC waungane kukabili corona

Na MHARIRI HATUA ya Rais Uhuru Kenyatta kutangaza kufunga mipaka ya Kenya na nchi za Tanzania na Somalia mnamo Jumamosi, ni jambo zuri,...

Magufuli amfuta kazi naibu waziri wa afya

Na THE CITIZEN DAR ES SALAAM, TANZANIA RAIS wa Tanzania John Pombe Magufuli amemteua Dkt Godwin Mollel awe Naibu Waziri wa Afya baada...

COVID-19: Magufuli avitilia shaka vipimio vinavyotumika nchini Tanzania

Na MASHIRIKA RAIS wa Tanzania John Magufuli amedai vipimio (test kits) vinavyotumika kupima homa ya corona nchini humo vina...

COVID-19: Magufuli kutuma ndege Madagascar iwachukulie Watanzania ‘dawa’ aina ya chai ya mitishamba

MASHIRIKA na CHARLES WASONGA RAIS wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema taifa lake litaagiza dawa ya kienyeji ambayo imedaiwa kutibu...

MALKIA WA CECAFA: Harambee Starlets yazima Kilimanjaro Queens

Na GEOFFREY ANENE JENTRIX Shikangwa alikuwa shujaa wa Kenya alipofungia Harambee Starlets mabao yote yaliyoiwezesha kunyakua ubingwa wa...

Kanisa laomba waumini wasisusie uchaguzi wa TZ

NA CHRISTOPHER KIDANKA KANISA Katoliki nchini Tanzania, limetoa wito kwa waumini wake kutosusia uchaguzi wa madiwani na viongozi wa...

Simanzi maziko ya wahanga 68 wa ajali ya mafuta yakianza TZ

NA MASHIRIKA MAJONZI yalitanda nchini Tanzania Jumapili wakati maandalizi ya kuwazika zaidi ya watu 60 waliokufa kwenye moto uliotokea...

Kenya yarejeshea TZ dhahabu ya Sh100m

PETER MBURU na MARY WANGARI [email protected] KENYA Jumatano ilirejesha kilo 35 za dhahabu ambayo ilinaswa humu nchini na...

Mzozo wa Kenya na Tanzania waathiri biashara mpakani

Na LUCY MKANYIKA WAFANYABIASHARA katika soko la mpakani la Taveta, Kaunti ya Taita Taveta wameitaka serikali kuingilia kati mzozo wa...

Uhuru atuliza joto Tanzania, apata mapokezi mazuri

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta alitumia ziara yake ya siku mbili Tanzania kutuliza joto kati ya nchi hiyo na Kenya kufuatia...