Tag: u-17
- by adminleo
- April 2nd, 2019
Kenya na Uganda U-17 waumiza nyasi bure Nairobi
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya soka ya Kenya ya wavulana wasiozidi umri wa miaka 17 imetoka 0-0 dhidi ya majirani Uganda katika mechi...
- by adminleo
- August 27th, 2018
AFCON U-17: Uganda yafuzu kwa mara ya kwanza
Na Geoffrey Anene UGANDA imejiunga na Angola, Cameroon na wenyeji Tanzania katika Kombe la Afrika la soka ya wanaume wasiozidi umri wa...
- by adminleo
- August 16th, 2018
TZ yaimumunya Sudan kama pipi U-17
Na Geoffrey Anene WENYEJI Tanzania wametinga nusu-fainali ya soka ya Afrika Mashariki na Kati ya kufuzu kushiriki Kombe la Afrika la...
- by adminleo
- August 15th, 2018
Kenya yainyeshea Sudan 4-0 U-17
Na GEOFFREY ANENE KENYA imeanza soka ya kufuzu kushiriki mashindano ya Afrika kwa wachezaji wa kiume wasiozidi umri wa miaka 17 kwa...
- by adminleo
- May 1st, 2018
Tanzania watwaa ubingwa Cecafa U-17 baada ya kuilima Somalia
Na GEOFFREY ANENE TANZANIA ndiyo mabingwa wa makala ya tatu ya mashindano ya soka ya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) ya Under-17...
- by adminleo
- April 22nd, 2018
Kenya U-17 yatinga nusu fainali licha ya kupigwa 1-0 na Somalia
Na GEOFFREY ANENE KENYA imeingia nusu-fainali ya mashindano ya soka ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 17 ya Afrika Mashariki na Kati...