Tag: Uhuru Kenyatta
- by T L
- November 15th, 2022
Serikali ya Uhuru yasutwa kwa kutumia pesa bila idhini ya Bunge
NA CHARLES WASONGA SERIKALI iliyopita ya Jubilee imelaumiwa kwa kutumia jumla ya Sh55 bilioni, bila idhini ya Bunge, kwa miezi mwili na...
- by T L
- July 14th, 2022
Matusi ya viongozi yaaibisha serikali
NA BENSON MATHEKA HUKU serikali ya Jubilee ikikaribia kuondoka mamlakani baada ya uchaguzi mkuu wa Agosti 9, viongozi wake wameonyesha...
- by T L
- March 23rd, 2022
Jubilee sasa yashinikiza vyama vidogo vikunjwe
NA ONYANGO K’ONYANGO CHAMA cha Jubilee sasa kimeanza mchakato wa kushawishi wandani wa Rais Uhuru Kenyatta waliokuwa wameunda vyama...
- by T L
- March 15th, 2022
Uhuru achemka kwa kuhepwa ngome yake
NA MWANGI MURURI RAIS Uhuru Kenyatta ameripotiwa kukasirishwa na washauri wake kuhusu ripoti zao za hali ya kisiasa katika eneo la Mlima...
- by T L
- February 24th, 2022
Washauri wa Uhuru watajwa kuchangia umaarufu wa Ruto
NA MWANGI MUIRURI WANDANI wa Rais Uhuru Kenyatta wamelaumiwa kwa kuchangia kudidimia kwa umaarufu na ushawishi wake katika eneo la Mlima...
- by T L
- December 5th, 2021
Rais atoa ahadi ya kuwainua walemavu
Na PSCU RAIS Uhuru Kenyatta amekariri kujitolea kwa serikali katika kuboresha maslahi ya walemavu, akisema watasaidiwa kushiriki...
- by T L
- December 2nd, 2021
Uhuru apigia debe Raila kumrithi 2022
Na WANDERI KAMAU RAIS Uhuru Kenyatta kwa mara nyingine alionyesha dalili za kuunga mkono azimio la kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga,...
- by T L
- December 1st, 2021
Uhuru asema Raila na Mudavadi ndio walimjulisha bungeni
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumanne alitoa kumbukumbu ya nyakati ambapo alihudumu bungeni kama Mbunge Maalum, Kiongozi wa...
- by T L
- November 30th, 2021
Rais Kenyatta ahutubia taifa kupitia kikao cha pamoja bungeni
Na SAMMY WAWERU RAIS Uhuru Kenyatta anahutubia taifa leo Jumanne alasiri katika kikao cha pamoja cha bunge, wengi wakisubiri kusikia...
- by T L
- November 30th, 2021
Mtihani kwa Uhuru kipindi cha lala salama
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta leo Jumanne anatarajiwa kuangazia mikakati ya serikali ya kukabiliana na changamoto zinazolikumba...
- by T L
- November 24th, 2021
Uhuru kutoa hotuba kuhusu hali ya taifa Bungeni Novemba 30,2021
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta atatoa hotuba kuhusu Hali ya Taifa katika kikao maalum cha Bunge la Kitaifa na Seneti mnamo...
- by T L
- November 18th, 2021
Serikali ya wakaidi wa sheria
Na BENSON MATHEKA SERIKALI imeonywa kuwa mazoea ya maafisa wake, akiwemo Rais Uhuru Kenyatta ya kukaidi maagizo ya mahakama na utawala...