Tag: ULEVI
‘Sherehe’ kwa walevi baa 1,800 zikitakiwa kuuza pombe yao yote leo
Na WAIKWA MAINA WAMILIKI wa zaidi ya baa 1,800 katika Kaunti ya Nyandarua ambao leseni zao za kibiashara hazikuongezewa muda, wametakiwa...
Ninapolewa na kuvuta bangi, ajuza wote hugeuka vipusa, shabiki wa Chelsea aambia mahakama
Na Richard Munguti KONDAKTA mwenye umri wa miaka 27 Jumanne aliwavunja watu mbavu mahakamani alipoungama kuwa akilewa pombe aliyoiita...
- by adminleo
- January 16th, 2020
Mwanamke motoni kwa kumuua mumewe mlevi
Na GEORGE MUNENE POLISI katika Kaunti ya Kirinyaga wanamzuilia mwanamke ambaye alidaiwa kumuua mumewe mlevi, kisha akaning’iniza mwili...
- by adminleo
- November 25th, 2019
Demu mlevi atimua wazazi
Na JOHN MUSYOKI MBITINI, MACHAKOS KIZAAZAA kilizuka mtaani demu alipowatimua wazazi wake, walipomtembelea nyumbani na kumpata amelewa...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Ucheshi Twitter washukiwa kufika mahakamani wamelewa chakari
Na Mary Wangari Mitandao ya kijamii ilizagaa ucheshi mnamo Alhamisi, Agosti 15, kufuatia kisa ambapo washukiwa sita walipoteza fahamu...
- by adminleo
- July 18th, 2019
Kina mama walevi watia wakazi hofu
Na WAIKWA MAINA MAAFISA wa watoto na wenyeji wa kaunti ya Nyandarua wamejawa na wasiwasi kufuatia ongezeko la akina mama wanaotelekeza...
- by adminleo
- July 7th, 2019
Gavana ajitolea kushauri ‘mbunge mlevi’
Na ERIC MATARA GAVANA wa Nakuru Lee Kinyanjui amejitolea kumshauri Mbunge wa Molo Francis Kuria Kimani, ambaye aljitokeza akiwa mlevi...
- by adminleo
- January 24th, 2019
NAKURU: Walevi waungana kuwakomboa wenzao
NA RICHARD MAOSI WARAIBU wa pombe na mihadarati hatimaye wameanza kupata faraja baada ya kundi la kibinafsi lililobuniwa na walevi...
- by adminleo
- December 27th, 2018
Mamangu alinipa kiamsha kinywa cha busaa kila siku, asimulia chifu
Na MAGDALENE WANJA WAKENYA wengi wanamkumbuka kama chifu aliyehudhuria mkutano wa rais akiwa mlevi chakari mnamo mwaka wa 2016. Naibu...
- by adminleo
- August 6th, 2018
Pombe imezuia vijana kuzaa – Gavana Kahiga
Na Stephen Munyiri GAVANA wa Nyeri, Bw Mutahi Kahiga, amedai upungufu wa watoto wanaojiunga na shule za chekechea umetokana na ulevi wa...
- by adminleo
- June 11th, 2018
Hofu ya ulevi wa jombi yafikisha mke kwa bosi
Na LEAH MAKENA GIAKI, MERU MAMA wa hapa alishangaza watu wengi alipozuru ofisi alikokuwa akifanya kazi mume wake ili kupata hakikisho...
- by adminleo
- June 5th, 2018
Jombi mlevi akamatwa akifuata kipusa msalani
Na TOBBIE WEKESA TOLL, RUIRU KIZAAZAA kilizuka katika kilabu kimoja eneo hili baada ya polo kutimuliwa alipopatikana na mabaunza...