Tag: USHIRIKINA
- by T L
- January 26th, 2022
Mbunge alaani hatua ya wakazi kuweka uchawi mbele kuliko elimu Pwani
NA KALUME KAZUNGU MBUNGE wa Kaloleni, Bw Paul Katana, amelaani hatua ya baadhi ya wakazi wa eneo hilo wanaodaiwa kushirikiana...
- by adminleo
- July 27th, 2019
Ushirikina wazidi kutesa jumuiya ya Kikristo
Na MWANGI MUIRURI WACHUNGAJI wa Kikristo wameduwazwa na jinsi wafuasi wao wengi wamejiunga na itikadi za ushirikina ambapo wamepoteza...
- by adminleo
- May 10th, 2019
Familia ya watu 33 iliyofurushwa kijijini Kamora kwa kuhusishwa na ushirikina yaomba usaidizi
Na GAITANO PESSA FAMILIA moja ya watu 33 kutoka kijiji cha Kamora, wilayani Teso Kusini inalilia usaidizi baada ya kufurushwa kutoka...
- by adminleo
- April 15th, 2019
Wazazi wa waliotekwa nyara wadai kuandamwa na ushetani
Na MASHIRIKA WAZAZI wa wasichana waliotekwa nyara Chibok, wanahofia kuandamwa na nguvu za kishetani miaka mitano tangu kisa hicho...
- by adminleo
- October 24th, 2018
Wazazi waonywa dhidi ya kupeleka watahiniwa kwa wachawi
Na SHABAN MAKOKHA MAAFISA wa elimu katika kaunti ndogo ya Mumias wameonya wazazi dhidi ya kuwahusisha wanafunzi wao katika ushirikina...
- by adminleo
- March 29th, 2018
Jombi atisha kutimua mke kwa kukataa kuamini ushirikina
Na LEAH MAKENA GATUNGA, THARAKA POLO wa hapa alitisha kumfurusha mkewe akimlaumu kwa kuchochea wanawe kutokubali dawa ya mganga ya...