Tag: USWAHILINI
- by T L
- November 3rd, 2021
USWAHILINI: Posa asili ya Kidigo ilivyofanikishwa kwa kutumia washenga
Na HAWA ALI MVULANA wa Kidigo atokapo jandoni hutafutiwa mchumba. Jambo la kwanza kufanyika ni kumtuma mshenga ili akaonane na nyanya...
USWAHILINI: Turathi ya Misitu ya Kaya na manufaa yake kwa Wamijikenda
Na HAWA ALI JAMII ya Wamijikenda ni kabila linalopatikana Pwani ya Kenya, na moja ya utambulisho wao ni Kaya - hii ni misitu ambako...
USWAHILINI: Huu hapa mseto wa milo inayopendwa mno katika janibu za Uswahilini
Na HAWA ALI BAADHI ya vyakula maarufu vya Waswahili vinavyopikwa kwa unga wa ngano ni pamoja na mandazi, mikate ya kusukuma/chapati,...
Itikadi na miko ya Uswahilini ambayo haihusiani na dini
Na HAWA ALI WIKI jana tulizungumzia baadhi ya Imani na itikadi za Waswahili zenye mfungamano mkuu na dini ya Kiislamu. Hata hivyo,...
USWAHILINI: Si kila paka mweusi Pwani ni jini, lakini…
Na HAWA ALI MJI wa pwani wa Mombasa umejaa maonyesho ya asili yenye kuvutia ajabu. Jamii za wenyeji zinajulikana kuwa karimu na mara...
USWAHILINI: Mnara wa pembe jijini Mombasa ndio nembo kuu ya Uswahilini
Na HAWA ALI MNARA wa pembe za ndovu ndio alama kuu ya Uswahilini humu nchini. Mnara huu unapatikana katika barabara kuu ya...
Uchumi, sanaa na desturi za kabila la Wadigo uswahilini
NA HAWA ALI Zaidi ya kuwa Wadigo wengi huishi katika katika Mkoa wa Tanga, hasa kwenye mji wa Tanga, wako Kenya wanakoishi upande wa...
- by adminleo
- November 13th, 2019
USWAHILINI: Taswira ya mandhari ya kupendeza ya mji wa Lamu
Na HAWA ALI KUSAFIRI kwa mashua hadi kwenye bandari ya Lamu ni mojawapo wa mandhari ya kupendeza ya mji wa Kiswahili wa Lamu. Upepo...
- by adminleo
- November 6th, 2019
USWAHILINI: Mwanamke wa Kirabai hakuruhusiwa kupiga ngoma za kitamaduni
Na LUDOVICK MBOGHOLI JAMII ya Warabai ambayo ni miongoni mwa jamii nyInginezo za Kimijikenda haikuruhusu wanawake kupiga ngoma za...
- by adminleo
- September 11th, 2019
USWAHILINI: Matumizi kedekede ya udi miongoni mwa jamii za Waswahili
Na HAWA ALI KWA wakazi wa jamii za Waswahili, manukato ya udi ni sehemu muhimu ya vitu vinavyokuwemo katika vijaluba vya vipodozi...
- by adminleo
- July 24th, 2019
USWAHILINI: ‘Mtori’ lishe bora ya kitamaduni kwa wajawazito Pwani
Na LUDOVICK MBOGHOLI JAMII zinazoishi katika maeneo ya Pwani Magharibi, zimekuwa na itikadi ya kijadi ya kuhakikisha wajawazito wako...
- by adminleo
- March 20th, 2019
USWAHILINI: Kujisitiri mwanamke wa Uswahili kiini si dini, ni utamaduni!
Na LUDOVICK MBOGHOLI KILA jamii ulimwenguni ina msingi wa itikadi ambayo ndiyo chimbuko mahususi la kuendeleza utamaduni wake. Hali...