Tag: UTALII
- by T L
- May 26th, 2022
Wanasiasa wasukumwa kueleza mipango ya kuinua utalii
NA FARHIYA HUSSEIN WADAU wa utalii Pwani, wametaka wawaniaji ugavana kaunti za eneo hilo waeleze wazi mipango yao ya kustawisha sekta...
- by T L
- March 7th, 2022
Sekta ya utalii yajiandaa Pasaka ikikaribia
NA WINNIE ATIENO WADAU wa sekta ya utalii Pwani wameanza kuweka mikakati ya kutafuta faida wakati wa sikukuu za Pasaka. Wadau hao...
- by T L
- January 31st, 2022
Utalii wapigwa jeki ndege mpya ikitua na wageni
NA WINNIE ATIENO SEKTA ya Utalii nchini ilipigwa jeki Jumapili baada ya watalii kutoka nchi ya Bulgaria kutua katika uwanja wa ndege wa...
- by T L
- December 31st, 2021
Wawekezaji walilia Balala aokoe utalii
Na WINNIE ATIENO WAWEKEZAJI wa sekta ya Utalii wamemlilia Waziri wa Utalii, Bw Najib Balala (pichani) kuwaokoa kutoka kwa sera...
- by T L
- November 30th, 2021
Dhuluma za ngono zinavyotatiza utalii
Na WAANDISHI WETU KESI ya mfanyabiashara Asif Amirali Alibhai Jetha, ambaye alihukumiwa miaka 30 gerezani, imezidi kufichua jinsi...
- by T L
- November 2nd, 2021
Nafuu kuu watalii wakifurika Mombasa
Na WINNIE ATIENO MATUMAINI ya sekta ya utalii kufufuliwa tena Mombasa yameongezeka baada ya idadi ya wateja wanaokodi vyumba hotelini...
Kaunti za Pwani kusaka ?watalii kama eneo moja
Na SIAGO CECE SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa itashirikiana na kaunti zingine za Pwani kuinua sekta ya utalii ambayo imepata pigo kubwa...
Covid: Wadau wa utalii walalama kubaguliwa
Na WACHIRA MWANGI WADAU katika sekta ya utalii wamelalamika kuwa sekta ya utalii inabaguliwa serikali inapoendelea kujaribu kurejesha...
Utalii wapigwa jeki Lufthansa ikizindua safari
Na SIAGO CECE SEKTA ya utalii nchini imepigwa jeki baada ya Kenya kupokea ndege ya watalii kutoka Frankfurt, Ujerumani katika uwanja wa...
Wamaasai wanavyovumisha utalii kupitia sherehe za Moran
Na GEORGE SAYAGIE KAUNTI ya Narok inatarajiwa kuwa kivutio kikubwa cha utamaduni kwa miezi mitatu hadi minne ijayo, ukoo wa Purko...
Wadau walia utalii unaendelea kusambaratika nchini
Na WINNIE ATIENO SEKTA ya Utalii eneo la Pwani inazidi kudorora huku janga la corona likiendelea kuathiri biashara nchini. Wawekezaji...
Kero mitandaoni Balala akiteua Mwingereza kupigia debe utalii
NA WANGU KANURI Wakenya kupitia mitandao ya kijamii ya Twitter na Facebook wameeleza masikitiko yao kuhusiana na uamuzi wa Wizara ya...