Tag: WALEMAVU
- by T L
- December 25th, 2021
WANDERI KAMAU: Ni ukiukaji mkubwa wa katiba kudhalilisha walemavu, wasiojiweza
Na WANDERI KAMAU WALEMAVU ni miongoni mwa makundi yaliyotengwa katika jamii—sawa na vijana, wanawake na jamii zinazoishi katika maeneo...
- by T L
- October 31st, 2021
Watoto walemavu zaidi ya 200 Mukuru wapigwa jeki kielimu baada ya Kenya Child Foundation Ireland kuwajengea kituo cha kisasa cha kusomea na kufanyiwa mazoezi ya viungo
Na SAMMY KIMATU NAIROBI WATOTO walemavu zaidi ya 200 katika maeneo ya Mukuru wamepigwa jeki kielimu na wafadhili kutoka nchini...
- by T L
- October 27th, 2021
Kebs na Inable wazindua kanuni za kuwafaa walemavu kidijitali
Na WANGU KANURI WAKENYA wanaoishi na ulemavu pamoja na wale wakongwe sasa wataweza kupokea huduma wanazotaka kidijitali za mawasiliano...
Wito kwa walemavu wajiunge na miradi ya maendeleo
Na SAMMY KIMATU NAIROBI WALEMAVU wameshauriwa kuungana kuanzisha vikundi vya miradi ya kutengeneza mapato ili wajiinue kiuchumi sawia...
Mhadhiri mwenye miaka 25 anavyotetea haki za walemavu
Na DIANA MUTHEU AKIWA na miaka 25, John Lokuta Ewoi ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Ufundi cha Mombasa (TUM). Licha ya ulemavu wake...
- by adminleo
- May 13th, 2020
Wito serikali iweke vifaa muhimu kwa ajili ya walemavu katika karantini
Na MISHI GONGO WATU wanaoishi na ulemavu mjini Mombasa wameilamu serikali kuu na ile ya kaunti kwa kukosa kutenga vituo vya karantini...
- by adminleo
- February 24th, 2020
SENSA: Walemavu wengi ni wanawake
Na PETER MBURU WANAWAKE wengi wako na ulemavu ikilinganishwa na wanaume, kulingana na ripoti ya sensa iliyofanywa 2019. Ripoti hiyo...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Walemavu Nakuru wanavyofurahia kucheza voliboli
NA RICHARD MAOSI Nakuru County Sitting Volleyball ni kikosi cha wachezaji wasiopungua 30 wanaocheza voliboli chini ya usimamizi wa...
- by adminleo
- December 9th, 2019
Inatukera sana kuona hela zetu zikitafunwa na mafisadi – Walemavu
Na SAMMY KIMATU MAKUMI ya walemavu walikongamana katika ukumbi wa kanisa la Katoliki la Soweto kwenye mtaa wa Kayole ulio katika Kaunti...
- by adminleo
- September 14th, 2019
Walemavu 10 Thika wapata viti vyenye magurudumu
Na LAWRENCE ONGARO WALEMAVU wapatao 10 kutoka eneo la Kilimambogo, Thika Mashariki wamenufaika kwa kupata viti vya kuwezesha mwendo...
- by adminleo
- April 30th, 2019
Diwani ailaani serikali ya kaunti kuwanyima walemavu ajira
Na GEORGE MUNENE UONGOZI wa serikali ya Kaunti ya Embu Jumanne ulikashifiwa kwa kutowapa walemavu ajira huku ikibainika hakuna hata...
- by adminleo
- March 16th, 2019
Kenya yavuna medali za dhahabu mashindano ya Olimpiki kwa wenye ulemavu UAE
Na GEOFFREY ANENE KENYA imezoa medali mbili za dhahabu Jumamosi katika mashindano ya Olimpiki kwa watu wenye ulemavu yanayoendelea...