Author: T L
- by T L
- September 21st, 2023
Mwaka 1 hatujaonana na anadai ana mimba yangu
SHANGAZI; Mpenzi wangu ni mwalimu na anaishi mbali. Nimeshangaa sana kupata ujumbe kutoka kwake akisema kuwa ana mimba. Hatujaonana kwa...
- by T L
- September 21st, 2023
Kioni ataka mazungumzo baina ya Kenya Kwanza na Azimio yasitishwe mara moja
Na JAMES MURIMI KATIBU Mkuu wa Jubilee Jeremiah Kioni ametaka kusitishwa kwa mazungumzo ya maridhiano kati ya wawakilishi wa kiongozi wa...
- by T L
- September 21st, 2023
Kilio Man-U, Arsenal ikipiga sherehe Uefa
MUNICH, Ujerumani Kipa Andre Onana ameamua kubeba msalaba kwa matokeo duni ya Manchester United baada ya kulimwa 4-3 na Bayern Munich...
- by T L
- September 21st, 2023
Polisi wasaka mwanamke mshukiwa wa mauaji aliyenaswa akiruka ukuta wa seng’eng’e
NA LABAAN SHABAAN PICHA za mwanamke mshukiwa wa mauaji ya kikatili ya mwanamume polisi waliyemtambua kama Dkt Eric Maigo Septemba 15...
- by T L
- September 21st, 2023
Mlima Kenya walia kupanda kwa gharama ya maisha licha ya kuwa ngome ya Kenya Kwanza
Na WAANDISHI WETU KUPANDA kwa gharama ya maisha na pia bei ya mafuta kumewagawanya viongozi na wakazi wa Mlima Kenya ambao sasa wametishia...
- by T L
- September 21st, 2023
Waititu, mkewe Susan wana kesi ya kujibu katika kashfa ya Sh588m za ujenzi wa barabara
NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya kuamua kesi za ufisadi imeamua aliyekuwa gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu, mkewe Susan Wangari na...
- by T L
- September 21st, 2023
Ugaidi: Fahamu kwa nini ni ‘makosa’ kuzaliwa mwanamume Lamu wakati huu
NA KALUME KAZUNGU WANAUME wengi kwenye vijiji vinavyoathiriwa na mashambulio ya Al-Shabaab kaunti ya Lamu wanaishi kwa hofu kufuatia hulka...
- by T L
- September 21st, 2023
Kayange: Shujaa wa 7s aliyewasha msisimko wa raga nchini na kote duniani
NA GEOFFFREY ANENE HUMPHREY ‘Tall’ Kayange ni mmoja wa mashujaa wa Kenya katika raga. Mwanafunzi huyo wa zamani wa shule za msingi...
- by T L
- September 21st, 2023
Seneta Sifuna amkashifu ‘Mtoto Wa Maumau’ Gachagua kwa kuagiza ‘sea food’ badala ya mutura
Na LABAAN SHABAAN Seneta wa Nairobi Bw Edwin Sifuna amemshambulia Naibu Rais Bw Rigathi Gachagua kwa kuagiza vyakula vya baharini (sea...
- by T L
- September 21st, 2023
Vibanda vya mahasla kujitafutia riziki vyabomolewa South B
NA SAMMY KIMATU ZAIDI ya vibanda 600 vimebomolewa Alhamisi asubuhi katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Sokoni, South B, kaunti ndogo ya...
- by T L
- September 21st, 2023
Programu ya kutatua migogoro kidijitali yazinduliwa nchini
NA FARHIYA HUSSEIN PROGRAMU ya kidijitali iliyoundwa kutatua mizozo ya mtandaoni baina ya watumiaji wa mitandao ya kijamii, imezinduliwa...
- by T L
- September 21st, 2023
Bei ya pombe kuongezeka kwa asilimia 300 pendekezo la mbunge likipita
NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kenya Kwanza amependekeza nyongeza ya asilimia 300 kwa bei ya pombe na vileo vikali. Bw Gabriel (GG)...