Author: T L
- by T L
- June 2nd, 2023
Kampeni ya FIFA ya kukuza soka ya wanawake nchini yakamilika washiriki wakituzwa
NA TOTO AREGE KAMPENI ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kwa ushirikiano na Shirikisho la Soka Nchini (FKF) kuimarisha kandanda ya...
- by T L
- June 2nd, 2023
Riadha za Dunia Budapest: Kiptum na Kosgei kuongoza timu ya Kenya kwenye mbio za marathon
Na AYUMBA AYODI MTIMKAJI wa pili bora kwa kasi katika historia ya mbio za kilomita 42, Kelvin Kiptum na mshikilizi wa rekodi ya dunia ya...
- by T L
- June 2nd, 2023
Kero ya Ndovu: Wakazi wa Ganze wasumbuka kupata fomu za kujaza walipwe fidia
NA MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Ganze Kenneth Kazungu amelitaka Shirika la Huduma kwa Wanyamapori (KWS) kurudisha huduma zake mashinani ili...
- by T L
- June 2nd, 2023
Omtatah ataka vipengee tata 13 ving’olewe kwenye Mswada wa Fedha
NA RICHARD MUNGUTI SENETA wa Busia Okiya Omtatah ameanza mchakato wa kuokoa wananchi kwa kupeleka kesi katika Mahakama Kuu akiomba...
- by T L
- June 2nd, 2023
Mahakama yaambiwa Mackenzie aliongoza ibada za kuwazika waumini waliofunga wakaangamia
Na BRIAN OCHARO MAHAKAMA ya Shanzu imeelezwa Ijumaa kuwa mhubiri Paul Mackenzie aliongoza hafla ya mazishi ya mamia ya wafuasi wake ambao...
- by T L
- June 2nd, 2023
Polisi wawili wauawa na Al-Shabaab katika Kaunti ya Mandera
NA MANASE OTSIALO MAAFISA wawili wa polisi wameaga dunia huku wengine watano wakijeruhiwa kwenye shambulio la kigaidi katika Kaunti ya...
- by T L
- June 2nd, 2023
Wetang’ula asuta Azimio
NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula amesuta muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya unaongozwa na Raila Odinga...
- by T L
- June 2nd, 2023
‘Nabii Yohana wa Tano’ ahojiwa na maafisa wa DCI, polisi
NA JESSE CHENGE MHUBIRI wa kanisa la Muungano Church for All Nations, Geoffrey Nakalira Wanyama,83, almaarufu 'Nabii Yohana wa Tano'...
- by T L
- June 2nd, 2023
Omtatah awasilisha kesi kupinga Mswada wa Fedha 2023
NA RICHARD MUNGUTI SENETA wa Busia Okiya Omtatah amewasilisha kesi katika Mahakama ya Milimani jijini Nairobi leo Ijumaa akiiomba itie...
- by T L
- June 2nd, 2023
Upande wa mashtaka waomba Mackenzie aendelee kukaa kizuizini kwa siku 60 zaidi
NA WACHIRA MWANGI MHUBIRI wa kanisa la Good News International Paul Mackenzie amefikishwa katika Mahakama ya Shanzu jijini Mombasa leo...
- by T L
- June 2nd, 2023
AK yaitisha mkutano na makocha wakune vichwa jinsi ya kushinda mbio za masafa marefu
Na AYUMBA AYODI SHIRIKISHO la Riadha Kenya (AK) limeitisha mkutano na makocha 30 kujadili na kuangalia jinsi Kenya inavyoweza kupata...
- by T L
- June 2nd, 2023
MKU yakariri kujitolea kuendelea kushiriki makongamano ya uimarishaji wa elimu
Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) kiliandaa kongamano lililoleta pamoja washiriki kutoka kwa vyuo vya mataifa...