• Nairobi
  • Last Updated September 21st, 2023 9:55 PM

Mwaka 1 hatujaonana na anadai ana mimba yangu

SHANGAZI; Mpenzi wangu ni mwalimu na anaishi mbali. Nimeshangaa sana kupata ujumbe kutoka kwake akisema kuwa ana mimba. Hatujaonana kwa...

Kioni ataka mazungumzo baina ya Kenya Kwanza na Azimio yasitishwe mara moja

Na JAMES MURIMI KATIBU Mkuu wa Jubilee Jeremiah Kioni ametaka kusitishwa kwa mazungumzo ya maridhiano kati ya wawakilishi wa kiongozi wa...

Kilio Man-U, Arsenal ikipiga sherehe Uefa

MUNICH, Ujerumani Kipa Andre Onana ameamua kubeba msalaba kwa matokeo duni ya Manchester United baada ya kulimwa 4-3 na Bayern Munich...

Polisi wasaka mwanamke mshukiwa wa mauaji aliyenaswa akiruka ukuta wa seng’eng’e

NA LABAAN SHABAAN PICHA za mwanamke mshukiwa wa mauaji ya kikatili ya mwanamume polisi waliyemtambua kama Dkt Eric Maigo Septemba 15...

Mlima Kenya walia kupanda kwa gharama ya maisha licha ya kuwa ngome ya Kenya Kwanza

Na WAANDISHI WETU KUPANDA kwa gharama ya maisha na pia bei ya mafuta kumewagawanya viongozi na wakazi wa Mlima Kenya ambao sasa wametishia...

Waititu, mkewe Susan wana kesi ya kujibu katika kashfa ya Sh588m za ujenzi wa barabara

NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya kuamua kesi za ufisadi imeamua aliyekuwa gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu, mkewe Susan Wangari na...

Ugaidi: Fahamu kwa nini ni ‘makosa’ kuzaliwa mwanamume Lamu wakati huu

NA KALUME KAZUNGU WANAUME wengi kwenye vijiji vinavyoathiriwa na mashambulio ya Al-Shabaab kaunti ya Lamu wanaishi kwa hofu kufuatia hulka...

Kayange: Shujaa wa 7s aliyewasha msisimko wa raga nchini na kote duniani

NA GEOFFFREY ANENE HUMPHREY ‘Tall’ Kayange ni mmoja wa mashujaa wa Kenya katika raga. Mwanafunzi huyo wa zamani wa shule za msingi...

Seneta Sifuna amkashifu ‘Mtoto Wa Maumau’ Gachagua kwa kuagiza ‘sea food’ badala ya mutura

Na LABAAN SHABAAN Seneta wa Nairobi Bw Edwin Sifuna amemshambulia Naibu Rais Bw Rigathi Gachagua kwa kuagiza vyakula vya baharini (sea...

Vibanda vya mahasla kujitafutia riziki vyabomolewa South B

NA SAMMY KIMATU ZAIDI ya vibanda 600 vimebomolewa Alhamisi asubuhi katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Sokoni, South B, kaunti ndogo ya...

Programu ya kutatua migogoro kidijitali yazinduliwa nchini

NA FARHIYA HUSSEIN PROGRAMU ya kidijitali iliyoundwa kutatua mizozo ya mtandaoni baina ya watumiaji wa mitandao ya kijamii, imezinduliwa...

Bei ya pombe kuongezeka kwa asilimia 300 pendekezo la mbunge likipita

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kenya Kwanza amependekeza nyongeza ya asilimia 300 kwa bei ya pombe na vileo vikali. Bw Gabriel (GG)...