• Nairobi
  • Last Updated June 2nd, 2023 9:28 PM

Kampeni ya FIFA ya kukuza soka ya wanawake nchini yakamilika washiriki wakituzwa

NA TOTO AREGE KAMPENI ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kwa ushirikiano na Shirikisho la Soka Nchini (FKF) kuimarisha kandanda ya...

Riadha za Dunia Budapest: Kiptum na Kosgei kuongoza timu ya Kenya kwenye mbio za marathon

Na AYUMBA AYODI MTIMKAJI wa pili bora kwa kasi katika historia ya mbio za kilomita 42, Kelvin Kiptum na mshikilizi wa rekodi ya dunia ya...

Kero ya Ndovu: Wakazi wa Ganze wasumbuka kupata fomu za kujaza walipwe fidia

NA MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Ganze Kenneth Kazungu amelitaka Shirika la Huduma kwa Wanyamapori (KWS) kurudisha huduma zake mashinani ili...

Omtatah ataka vipengee tata 13 ving’olewe kwenye Mswada wa Fedha

NA RICHARD MUNGUTI SENETA wa Busia Okiya Omtatah ameanza mchakato wa kuokoa wananchi kwa kupeleka kesi katika Mahakama Kuu akiomba...

Mahakama yaambiwa Mackenzie aliongoza ibada za kuwazika waumini waliofunga wakaangamia

Na BRIAN OCHARO MAHAKAMA ya Shanzu imeelezwa Ijumaa kuwa mhubiri Paul Mackenzie aliongoza hafla ya mazishi ya mamia ya wafuasi wake ambao...

Polisi wawili wauawa na Al-Shabaab katika Kaunti ya Mandera

NA MANASE OTSIALO MAAFISA wawili wa polisi wameaga dunia huku wengine watano wakijeruhiwa kwenye shambulio la kigaidi katika Kaunti ya...

Wetang’ula asuta Azimio

NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula amesuta muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya unaongozwa na Raila Odinga...

‘Nabii Yohana wa Tano’ ahojiwa na maafisa wa DCI, polisi

NA JESSE CHENGE MHUBIRI wa kanisa la Muungano Church for All Nations, Geoffrey Nakalira Wanyama,83, almaarufu 'Nabii Yohana wa Tano'...

Omtatah awasilisha kesi kupinga Mswada wa Fedha 2023

NA RICHARD MUNGUTI SENETA wa Busia Okiya Omtatah amewasilisha kesi katika Mahakama ya Milimani jijini Nairobi leo Ijumaa akiiomba itie...

Upande wa mashtaka waomba Mackenzie aendelee kukaa kizuizini kwa siku 60 zaidi

NA WACHIRA MWANGI MHUBIRI wa kanisa la Good News International Paul Mackenzie amefikishwa katika Mahakama ya Shanzu jijini Mombasa leo...

AK yaitisha mkutano na makocha wakune vichwa jinsi ya kushinda mbio za masafa marefu

Na AYUMBA AYODI SHIRIKISHO la Riadha Kenya (AK) limeitisha mkutano na makocha 30 kujadili na kuangalia jinsi Kenya inavyoweza kupata...

MKU yakariri kujitolea kuendelea kushiriki makongamano ya uimarishaji wa elimu

Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) kiliandaa kongamano lililoleta pamoja washiriki kutoka kwa vyuo vya mataifa...