• Nairobi
  • Last Updated June 8th, 2023 10:01 PM

Gor, Tusker na Homeboyz taabani kwa kukosa timu za wanawake

NA JOHN ASHIHUNDU MASHARTI magumu ya Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) huenda yakainyima Kenya fursa ya kuwakilishwa katika...

Rosa Buyu: Marufuku ya muda kwa wabunge wa Azimio ni njama kupitisha Mswada wa Fedha 2023  

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kisumu Magharibi Rosa Buyu, ametaja marufuku ya muda bungeni kwa baadhi ya wabunge wa Azimio kama njama ya...

NiE: Mkataba wa NMG na KIWASCO unavyopiga jeki elimu Kisumu

NA CHRIS ADUNGO KAMPUNI ya kusambaza maji na kushughulikia usafi ya kule Kisumu, KIWASCO ilishirikiana na shirika la Nation Media Group...

Askari wasababisha vifo vya watu 4 wakikimbizana na chang’aa  

  NA JESSE CHENGE  WATU wanne wamepoteza maisha eneo la Chwele, Bungoma katika ajali iliyohusisha gari la polisi na pikipiki....

Museveni achapa kazi licha ya kupimwa na kupatikana ana virusi vya corona

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amepimwa na kupatikana ana virusi vya corona. Hata hivyo, afisa mkuu...

Rais Museveni: Ambukizo la corona limesababisha likizo ya lazima katika miaka 53 ya utendakazi wangu

NA SAMMY WAWERU RAIS wa Uganda Yoweri Museveni ametaja ambukizo la corona la hivi punde, kama shinikizo la likizo ya pili ya lazima...

Wahudumu wawili wa bodaboda wafariki baada ya kugongwa na lori la trela mjini Malindi

NA ALEX KALAMA  WAHUDUMU wawili wa bodaboda wamefariki papo hapo huku mmoja akiponea kifo baada ya lori la trela kutoka Mombasa...

Rais Museveni athibitisha kuugua corona

NA SAMMY WAWERU RAIS wa nchi jirani ya Uganda Yoweri Museveni ametangaza kuugua virusi vya corona. Kupitia taarifa kwenye akaunti...

West Ham wakomoa Fiorentina na kufuzu kwa soka ya Europa League baada ya kushinda taji la Europa Conference League

Na MASHIRIKA WEST Ham United walikomesha ukame wa miaka 43 bila taji lolote la haiba kubwa kabatini mwao baada ya Jarrod Bowen...

Gereza la Eldoret lamulikwa kufuatia kifo cha mahabusu askari wakitajwa kuhusika 

NA TITUS OMINDE WANAHARAKATI kutetea haki za kibinadamu, wakiongozwa na Haki Africa, wameitaka Tume ya Huduma za Polisi Nchini (NPSC)...

Kitendawili cha kifo cha Jeff Mwathi kuteguliwa kuanzia Agosti 10

NA RICHARD MUNGUTI UCHUNGUZI wa kubaini kilichosababisha kifo cha mwanafunzi Jeff Mwathi aliyekuwa akisomea upambaji katika taasisi ya...

Messi ateua kuhamia Amerika kuchezea Inter Miami licha ya ofa nono kutoka Al-Hilal ya Saudi Arabia

Na MASHIRIKA NGULI wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, atajiunga na kikosi cha Inter Miami nchini Amerika baada ya kuagana na...