Author: T L
- by T L
- June 8th, 2023
Gor, Tusker na Homeboyz taabani kwa kukosa timu za wanawake
NA JOHN ASHIHUNDU MASHARTI magumu ya Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) huenda yakainyima Kenya fursa ya kuwakilishwa katika...
- by T L
- June 8th, 2023
Rosa Buyu: Marufuku ya muda kwa wabunge wa Azimio ni njama kupitisha Mswada wa Fedha 2023
NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kisumu Magharibi Rosa Buyu, ametaja marufuku ya muda bungeni kwa baadhi ya wabunge wa Azimio kama njama ya...
- by T L
- June 8th, 2023
NiE: Mkataba wa NMG na KIWASCO unavyopiga jeki elimu Kisumu
NA CHRIS ADUNGO KAMPUNI ya kusambaza maji na kushughulikia usafi ya kule Kisumu, KIWASCO ilishirikiana na shirika la Nation Media Group...
- by T L
- June 8th, 2023
Askari wasababisha vifo vya watu 4 wakikimbizana na chang’aa
NA JESSE CHENGE WATU wanne wamepoteza maisha eneo la Chwele, Bungoma katika ajali iliyohusisha gari la polisi na pikipiki....
- by T L
- June 8th, 2023
Museveni achapa kazi licha ya kupimwa na kupatikana ana virusi vya corona
NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amepimwa na kupatikana ana virusi vya corona. Hata hivyo, afisa mkuu...
- by T L
- June 8th, 2023
Rais Museveni: Ambukizo la corona limesababisha likizo ya lazima katika miaka 53 ya utendakazi wangu
NA SAMMY WAWERU RAIS wa Uganda Yoweri Museveni ametaja ambukizo la corona la hivi punde, kama shinikizo la likizo ya pili ya lazima...
- by T L
- June 8th, 2023
Wahudumu wawili wa bodaboda wafariki baada ya kugongwa na lori la trela mjini Malindi
NA ALEX KALAMA WAHUDUMU wawili wa bodaboda wamefariki papo hapo huku mmoja akiponea kifo baada ya lori la trela kutoka Mombasa...
- by T L
- June 8th, 2023
Rais Museveni athibitisha kuugua corona
NA SAMMY WAWERU RAIS wa nchi jirani ya Uganda Yoweri Museveni ametangaza kuugua virusi vya corona. Kupitia taarifa kwenye akaunti...
- by T L
- June 8th, 2023
West Ham wakomoa Fiorentina na kufuzu kwa soka ya Europa League baada ya kushinda taji la Europa Conference League
Na MASHIRIKA WEST Ham United walikomesha ukame wa miaka 43 bila taji lolote la haiba kubwa kabatini mwao baada ya Jarrod Bowen...
- by T L
- June 8th, 2023
Gereza la Eldoret lamulikwa kufuatia kifo cha mahabusu askari wakitajwa kuhusika
NA TITUS OMINDE WANAHARAKATI kutetea haki za kibinadamu, wakiongozwa na Haki Africa, wameitaka Tume ya Huduma za Polisi Nchini (NPSC)...
- by T L
- June 8th, 2023
Kitendawili cha kifo cha Jeff Mwathi kuteguliwa kuanzia Agosti 10
NA RICHARD MUNGUTI UCHUNGUZI wa kubaini kilichosababisha kifo cha mwanafunzi Jeff Mwathi aliyekuwa akisomea upambaji katika taasisi ya...
- by T L
- June 8th, 2023
Messi ateua kuhamia Amerika kuchezea Inter Miami licha ya ofa nono kutoka Al-Hilal ya Saudi Arabia
Na MASHIRIKA NGULI wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, atajiunga na kikosi cha Inter Miami nchini Amerika baada ya kuagana na...